Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Mkuu nilishakama kitu cha note 8 saiv burudaaaani
[emoji16][emoji16][emoji16]

Bado mkuu...mzigo ndio umeruhusiwa kutoka China huo. Tarehe 6 hadi 9 January mzigo uwe umefika hesabu week mbili mbele, kama upo mkoani au wilayani ongeza tena week 1 ziwe 3.
Hadi uone Arrived at Destination Country

Hapa ume waonesha jamaa tracking number na aina ya mzigo. Ukifika tu lazima wale kichwa. Kuna fununu jamaa wa TRA wamo humu wanakusanya taarifa tu.
SangaweJr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu status ya mzigo wangu inaonyesha umezuiwa na Watu wa TRA ,uliingia toka 24/12/2019, Jana ndio update ikaonyesha" Held by customs" . Je watanijulisha kiasi cha kodi au mpaka nifuatilie? Na km kufuatilia nafuatilia posta au TRA? Plse wanaofahamu utaratibu
Wakuu nashukuru nilipata mzigo wangu na kwa bahati nzuri sikukatwa kodi isipokuwa nilitozwa gharama za posta kiasi cha tsh 2350,asanteni sana kwa ushauri ambao nadhani next time nitafanya mazungumzo na seller kabla ya kununua mzigo ili nijue invoice itakavyokuwa baada ya kununua mzigo
 
Nauza Mi5 storage 64gb ram 3gb bei 300k kwa anaehitaji anichek 0714192765
IMG-20200109-WA0131.jpeg
IMG-20200109-WA0134.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom