skate-board
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 490
- 577
Mkuu nilishakama kitu cha note 8 saiv burudaaaani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]
Bado mkuu...mzigo ndio umeruhusiwa kutoka China huo. Tarehe 6 hadi 9 January mzigo uwe umefika hesabu week mbili mbele, kama upo mkoani au wilayani ongeza tena week 1 ziwe 3.
Hadi uone Arrived at Destination Country
Hapa ume waonesha jamaa tracking number na aina ya mzigo. Ukifika tu lazima wale kichwa. Kuna fununu jamaa wa TRA wamo humu wanakusanya taarifa tu.
SangaweJr
Sent using Jamii Forums mobile app