mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 944
Asante mkuu kwa maelezo mazuri sana,kuna zengine uwa naona zinauzwa hadi elfu 30,sasa zina utofauti gani na izo za malaki?Inategemea na brand, pamoja na volume utakayotumia kusikilizia music, haylou gt1 nimeona masaa manne ila tronsmart masaa 5
Ila uzuri vinakuja na charging case ambayo Inaeza ikazichaji hata mara 3,
So ni kama full charge utasikiliza masaa a manne, ziliisha chaji unarudisha kwenye box dk 20 zinakuwa full, unasikilizi Tena masaa manne, zikiisha unarudisha Tena kwa box dk20 tena , hapo box inakuwa inahitaji kuchajiwa nayo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinatofautiana sound quality,! Expensive Tws mara nyingi (japo sio zote) zinakuwa na detailed sound signature, yaan base unasikia, treble unajisikia, na midi unasikia pia, hizi za bei ya chini mara nyingi utapata base na treble, midi haisikiki Sana au unakuta haipo kabisa,Asante mkuu kwa maelezo mazuri sana,kuna zengine uwa naona zinauzwa hadi elfu 30,sasa zina utofauti gani na izo za malaki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo sijatumia, ila niliona hazina reviews nzuri kwa wenye kujua muziki, nikaamua kuachana nazo. Haylou gt1 soundwise haiko mbaya sana, ila Kuna Tronsmart tws tafuta spunky beat pro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi vipView attachment 1325805 redmi note 8 pro nimepokea leo wazee niliagiza 1jan2020 ikafika 10jan leo nimenda chukua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ifike hatua hii hoja tuachane nayo wadau. Ndio inapelekea kubanwa zaidi. Tuna jikaanga wenyewe hapa.
Ifike hatua hii hoja tuachane nayo wadau. Ndio inapelekea kubanwa zaidi. Tuna jikaanga wenyewe hapa.
Kwa mujibu wa sheria kulipa kodi ni lazima.
Kujua kama mtu kalipa au hajalipa ndipo tunapo wekana rehani hapa.
Sahihi wewe kama umeamua kufanya hii ishu fanya lakini mengi tulisha ambiana kikubwa ya jenge huko na muuzaji wako. Bidhaa ikifika jamaa wakakubana tafuta namna ya ku pambana maana kiuhalisia jamaa wapo sahihi lazima ulipe kodi.
Point ya msingi sana hii.Ifike hatua hii hoja tuachane nayo wadau. Ndio inapelekea kubanwa zaidi. Tuna jikaanga wenyewe hapa.
Kwa mujibu wa sheria kulipa kodi ni lazima.
Kujua kama mtu kalipa au hajalipa ndipo tunapo wekana rehani hapa.
Unajua nini mkuu imefika hatua jamaa sasa hv hawaangaliii huu unatakiwa kulipiwa kodi, au hautakiwi kulipiwa kodi wengine maeneo tulipo jamaa wanakusanya yote.
Ifike hatua hii hoja tuachane nayo wadau. Ndio inapelekea kubanwa zaidi. Tuna jikaanga wenyewe hapa.
Kwa mujibu wa sheria kulipa kodi ni lazima.
Kujua kama mtu kalipa au hajalipa ndipo tunapo wekana rehani hapa.
Ni kweli, ila uzuri wa kuagiza bado utabaki pale pale! unapata kitu unacho kipenda kabisa! Mdau na note 8 pro yake nimeona kama anaringishia mie vile! penda Sana simu hiyo ila kwa dar najua sitaipatamambo ya kodi acha2, itafikia mahali kuagiza vitu atakuwa muhimu kabisa maan gharama ya kupata apa nchini na kuagiza zitakuwa sawa kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unataka attention za watu but I'm telling you, nobody's got time for that.tena xiaomi mna shida
mnataka kufananisha visimu vyenu na Baba lao
Baba wa Misimu Samsung
wakati nyinyi oppo tu wanawatoa jasho sio mchezo
njoo kwa pixel za google wanawatoa machozi
ukija kwa one plus ndio kufa nje nje
Sasa babalao hao wote wanamuogopa
Msalimieni bibi yenu iphone mwambie yeye ni mkali ila sio kama moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nitajie mid ranges zenye features nyingi, na kwa bei nafuu kushinda xiaomi.tena xiaomi mna shida
mnataka kufananisha visimu vyenu na Baba lao
Baba wa Misimu Samsung
wakati nyinyi oppo tu wanawatoa jasho sio mchezo
njoo kwa pixel za google wanawatoa machozi
ukija kwa one plus ndio kufa nje nje
Sasa babalao hao wote wanamuogopa
Msalimieni bibi yenu iphone mwambie yeye ni mkali ila sio kama moto
Sent using Jamii Forums mobile app