Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Hii simu nimeshindwa kutambua Model yake , ila naona ni kampuni ya Xiaomi ... Naombeni mwenye kuifahamu anijuze , na kama naweza pata Betri lake anijuze please na kama naweza ipata online wakuniagizia anijuze maana kuna mtu kaileta anataka ifanyiwe matengenezo ya betri kwanza na mengine yatafuata. Namba yangu hij ya VODACOM 0758502213 au nicheki PM ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG20200211102114.jpeg
    51.8 KB · Views: 1

Chukua IMEI number alafu uingie kwenye website ya TCRA.... ingia kwenye menu ya IMEI VERIFICATION..... weka hizo imei number alafu bonyeza sahemu wameandika verify you device...
Tumia link hii IMEI Code Verification
 
Nauza redmi 8 sapphire blue 64 GB brand new

 
Njoo PM tuyajenge kaka0717135641 whatssap only
 
Vipi kuhusu vivo phone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…