Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Got mine two days ago
 

Attachments

  • IMG_20200223_185349.jpg
    IMG_20200223_185349.jpg
    125.5 KB · Views: 2
  • IMG_20200223_185257.jpg
    IMG_20200223_185257.jpg
    190.1 KB · Views: 2
Wadau nani anaitumia XIAOMI REDMI NOTE 8 PRO. Naomba anaipe uzoefu wa hii machine maana ndio najipanga kuikamatia.

Nimeichungulia youtube na kwenye webs tofauti tofauti naona imetulia inaridhisha, ukizingatia bei yake ni nzuri.

Mwenye uzoefu na hiyo mashine naomba neno lako please.

Au kama kuna nyingine kali zaidi kwa bei nafuu naomba kujulishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ,kwenye ku track percel inaonyesha imeingia bongo tangia tarehe 17 ,tangia hapo hadi leo hii bado inaonyesha ipo Import custom...hivi hao jamaa wana shida ganiView attachment 1368655

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatatizo katika uelewa wa hizo update, katika picha yako haipo update inayo onesha mzigo umefika bongo.

Kama lugha ni tatizo angalia hata hizo alama za ndege, hapo zinaonesha kama ina paa.

Ikifika utaona hiyo alama ya ndege inaonesha kama ndege inatua.

Update ya mzigo kufika ni ARRIVAL AT DESTINATION COUNTRY


SangaweJr
 

Attachments

  • Screenshot_2020-02-29-18-58-34-422_com.android.settings.jpg
    Screenshot_2020-02-29-18-58-34-422_com.android.settings.jpg
    57.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-02-29-18-58-42-034_com.android.settings.jpg
    Screenshot_2020-02-29-18-58-42-034_com.android.settings.jpg
    55.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom