Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
-
- #5,821
Bei gani kiongozi wamekuuzia hao tigo je haijawa locked kutumia tigo tu kwa laini oneHatimae nimehamia katika chama ili Redmi 8A nimenunua Duka la tigo,kwa kweli ipo saafi,korona ikiisha rasmi nitaagiza Redmi Note 7 au 8
Labda uagize tu njeJamanii Jamanii....
Natafuta Battery la Xiaomi Redmi5, Nataka kubadilisha...
Tafadhali Msaada wenu,[emoji847][emoji847]
Sina uhakika kama hawa ni agent kweli wa xiomi huko kenya ila jaribu kuchat nao. Angalizo sihusiki kwa lolote litakalotokea. AsanteLabda uagize tu nje
Hao ni agent kweli na nilinunua simu ya redmi note 9 pro kutoka kwao mwezi huu wa sita. ila shida yao hawatumi vitu kuja Tanzania.Sina uhakika kama hawa ni agent kweli wa xiomi huko kenya ila jaribu kuchat nao. Angalizo sihusiki kwa lolote litakalotokea. AsanteView attachment 1505060
Asante kwa taarifa mkuu maana kuna siku nitafanya nao biashara ila sikuwa na uhakika. Kama hawatumi simu Tanzania wewe uliwezaje kuipata simu yako au hauko Tanzania?Hao ni agent kweli na nilinunua simu ya redmi note 9 pro kutoka kwao mwezi huu wa sita. ila shida yao hawatumi vitu kuja Tanzania.
Kariakoo, China PlazaWazee wa Xiaomi napata wap protector ya redmi note 8?
Uliipataje sasaHao ni agent kweli na nilinunua simu ya redmi note 9 pro kutoka kwao mwezi huu wa sita. ila shida yao hawatumi vitu kuja Tanzania.
Asante kwa taarifa mkuu maana kuna siku nitafanya nao biashara ila sikuwa na uhakika. Kama hawatumi simu Tanzania wewe uliwezaje kuipata simu yako au hauko Tanzania?
Kama uko na mbinu tueleze mkuu.
Kuna mtu yupo Nairobi niliungwanishwa nae, ndiye aliyenunulia simu kwa hao jamaa dukani kwao. Baada ya kuninunulia aliituma Mombasa kwa kutumia kampuni ya usafirishaji ya ndani ya Kenya. Mombasa kulikuwa na mtu wa kuupokea, Baada ya kufika Mombasa nikaletewa boda ya horohoroUliipataje sasa
Sent
Asee ukitumia mzunguko sana, mie nataka kununua redmi 9 , Ila naona China na mambo ya korona shipping itachelewa,Kuna mtu yupo Nairobi niliungwanishwa nae, ndiye aliyenunulia simu kwa hao jamaa dukani kwao. Baada ya kuninunulia aliituma Mombasa kwa kutumia kampuni ya usafirishaji ya ndani ya Kenya. Mombasa kulikuwa na mtu wa kuupokea, Baada ya kufika Mombasa nikaletewa boda ya horohoro
Ksh 29300Asee ukitumia mzunguko sana, mie nataka kununua redmi 9 , Ila naona China na mambo ya korona shipping itachelewa,
Redmi9pro iligharimu ngapi had mkononi kwa njia hiyo?
Sent
thanksKsh 29300
Agiza kwa hawa jamaa www.avechi.com wapo Kenya, kwasasa hivi wanaweza kuwa hawaship kuja tz sababu ya border kufungwaDaah kila seller wa aliexpress anagoma kutuma redm note 8 tanzania yaan ni shidaa
Ok mkuu shukranAgiza kwa hawa jamaa www.avechi.com wapo Kenya, kwasasa hivi wanaweza kuwa hawaship kuja tz sababu ya border kufungwa
Ila kama kuna mtu unamfahamu yupo Kenya mwambie akununulie then acheki na watu wa magari ya mizigo
Whatsapp number zaoOk mkuu shukran
mkuu ukihitaji pixel 3a offline market nicheki nauza mpya ya 32 gb