Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
-
- #6,421
MI mwenyewe naona ni opportunity, mtu alie Kenya anaweza kuanzisha biashara ya ku post hizi mambo, kuna vitu vingi sana vya Electronic Kenya kwa bei reasonable.
Xiaomi alikuwa anakuja Kenya na Tanzania pamoja, issue ni kwamba hapa kuna watu walileta figisu figisu.Kuna jamaa yangu n mwanafunzi wa upilot anakuja sana mara kwa mara HTDA (JNIA) nimemwambia ajarib kila akijaaje na pisi kadhaa atapiga pesa .Chief mi store ya kenya wako complete ata ukitka kijiko cha xiaomi unapata😄 Siku wakija bongo tekno na infinix watahamia nguruka
Tuendelee na ulofa wetu hivi hiviXiaomi alikuwa anakuja Kenya na Tanzania pamoja, issue ni kwamba hapa kuna watu walileta figisu figisu.
Hiv hatuwez kuwaomba sana Xiaomi warudi Tz na kuwajulisha kwamba Mambo huku yamechange?Tuendelee na ulofa wetu hivi hivi
Kampuni haina njaa sio ya kuibembeleza tubadilike wabongo Aliexpress kwenyewe item nying seller halet bongo kenya zinaenda whyHiv hatuwez kuwaomba sana Xiaomi warudi Tz na kuwajulisha kwamba Mambo huku yamechange?
Tz hatujawa integrated vizur na Globalization. Tuna Mambo mengi ya kizaman zaman na ujanja ujanja wa kipumbavu.Kampuni haina njaa sio ya kuibembeleza tubadilike wabongo Aliexpress kwenyewe item nying seller halet bongo kenya zinaenda why
Basi hilo ndio jibu ambalo kumbe walijua kakaTz hatujawa integrated vizur na Globalization. Tuna Mambo mengi ya kizaman zaman na ujanja ujanja wa kipumbavu.
kama unafikiria ni awamu iliopita sio hio. hili lilitokea toka awamu ya 4 na tetesi tetesi kuna kampuni inaitwa MI ilikuwa inatengeneza feature phone, hivyo haiwezi kuja kampuni nyengine ikatumia jina hilo hilo, wangetakiwa wabadili jina.Hiv hatuwez kuwaomba sana Xiaomi warudi Tz na kuwajulisha kwamba Mambo huku yamechange?
Sijaelewakama unafikiria ni awamu iliopita sio hio. hili lilitokea toka awamu ya 4 na tetesi tetesi kuna kampuni inaitwa MI ilikuwa inatengeneza feature phone, hivyo haiwezi kuja kampuni nyengine ikatumia jina hilo hilo, wangetakiwa wabadili jina.
Mie kiongozi au naniNina mwezi toka uliposema tukutane hapa. Sikuon.
Aliye anzisha uzi. Si amesema tukutane hapaMie kiongozi au nani
Ushafanikiwa kupata hiyo redmi note 9S?Nahitaji Xiaomi redmi note 9S,nipo Morogoro,kwa anayejua sehemu zinakouzwa naomba kuelekezwa
mzigo wako umeshaingia nchini ila tumia track 17 , wana app yao android ,utapata updates za mzigo wako kwa usahihi zaidi kuliko hao aliexpress.
Ivi ni samsung a21 au s21....hapa bongo laki sita kule inauzwa 280 mpaka inakufikia.....ni yenyewe kweli mdauNa kwa kuongezea tu leo kuna sell simu ziko kwenye mapunguzo makubwa tu ! S kwingine ni huko duniani kazi kwenu
[emoji23][emoji23][emoji23]tecno watahamia wapiKuna jamaa yangu n mwanafunzi wa upilot anakuja sana mara kwa mara HTDA (JNIA) nimemwambia ajarib kila akijaaje na pisi kadhaa atapiga pesa .Chief mi store ya kenya wako complete ata ukitka kijiko cha xiaomi unapata[emoji1] Siku wakija bongo tekno na infinix watahamia nguruka
Aliexpress Wahuni wengi, utauziwa Samsvng s21Ivi ni samsung a21 au s21....hapa bongo laki sita kule inauzwa 280 mpaka inakufikia.....ni yenyewe kweli mdau
Toba bora umenishtua wapi papo sahihi niende kuchunguliA hukoAliexpress Wahuni wengi, utauziwa Samsvng s21
Sehemu yoyote ambayo Samsung wanauza official kama Amazon.Toba bora umenishtua wapi papo sahihi niende kuchunguliA huko