Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
- #6,421
Kuna jamaa yangu n mwanafunzi wa upilot anakuja sana mara kwa mara HTDA (JNIA) nimemwambia ajarib kila akijaaje na pisi kadhaa atapiga pesa .Chief mi store ya kenya wako complete ata ukitka kijiko cha xiaomi unapata😄 Siku wakija bongo tekno na infinix watahamia nguruka
MI mwenyewe naona ni opportunity, mtu alie Kenya anaweza kuanzisha biashara ya ku post hizi mambo, kuna vitu vingi sana vya Electronic Kenya kwa bei reasonable.