Ok nilikua na mpango wa kuagizia tv hisense nch43 smart ila kule ali express sizioni kabisa....Sehemu yoyote ambayo Samsung wanauza official kama Amazon.
TV nzito, utapigwa shipping fees za maana, TV si bei rahisi hapa TZ? Kwanini uagizishie China?Ok nilikua na mpango wa kuagizia tv hisense nch43 smart ila kule ali express sizioni kabisa....
Nisaidie mdau na bei yake huko duniani
Sawa nitachukulia zenji mjini bei zimechangamka sanaTV nzito, utapigwa shipping fees za maana, TV si bei rahisi hapa TZ? Kwanini uagizishie China?
Mkuu, swali dogo kuhusu myus. Je kwa nje ya dar mzigo unapokelea wapi!?.TV nzito, utapigwa shipping fees za maana, TV si bei rahisi hapa TZ? Kwanini uagizishie China?
Kuna jinsi ya kuset iwe Black. Ukiwa hapo kwenye dialer bonyeza dot tatu hapo juu alafu chagua settings kisha display options kisha choose theme alafu chagua black.. Inabadilika nina redmi 9 nimejaribu.Huu mwonekano wa redmi 9 simu ukipga au ikipgwa hauvutii kabsa Bora wangeweka black aiseeeView attachment 1762012
Ahsante mkuuu imekubaliKuna jinsi ya kuset iwe Black. Ukiwa hapo kwenye dialer bonyeza dot tatu hapo juu alafu chagua settings kisha display options kisha choose theme alafu chagua black.. Inabadilika nina redmi 9 nimejaribu. View attachment 1762845
Dah mkuu simu hizi mbili tofaut ni kubwa tuWakuu naomba kujua kuna tofaut yoyote
Kat ya hiz sim mbili redmi 9 na 9t
Ukiacha mwonekano wao wa nje ndo naona tofaut
Dhaaaa kumbe alaf mbona bei zao haziachanDah mkuu simu hizi mbili tofaut ni kubwa tu
Chek Compare Xiaomi Redmi 9T vs. Xiaomi Redmi 9 - GSMArena.com
Hii 9t inaonekana imeboreshwa zaidDah mkuu simu hizi mbili tofaut ni kubwa tu
Chek Compare Xiaomi Redmi 9T vs. Xiaomi Redmi 9 - GSMArena.com
Kuna Redmi gani nyingine Togo huko?Wakuu tigo mlimani city naona redmu note 9 tsh500000 inakuja na offer ya data gb78 mwaka mzima
Agiza online tuWakuu nna simu yangu redmi 9a imekula
mzinga kioo kimeharibika naweza kupata wapi spare ya kioo chake
MSAADA TAFADHALI[emoji120]
[emoji28][emoji28] Kule ukiwa mzembe kusoma jina ukakurupuka kwa mihemko tu unaweza kuuziwa ma copy ya simu..Aliexpress Wahuni wengi, utauziwa Samsvng s21
Mkuu em tuelezee hii kwa kina kidogo kama hutojali, kuna kitu sijaelewa [emoji848]kama unafikiria ni awamu iliopita sio hio. hili lilitokea toka awamu ya 4 na tetesi tetesi kuna kampuni inaitwa MI ilikuwa inatengeneza feature phone, hivyo haiwezi kuja kampuni nyengine ikatumia jina hilo hilo, wangetakiwa wabadili jina.