Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Ni lowend haina maaajabu sana. Kiufupi kama matumizi yako ni ya kawaida kabisa chukua. Tofauti na hapo kupanda juu kidogo chukua Redmi 10C
 
umeagiza alibaba au aliexpress maana siku hizi kununua simu online ni bei chee lakini garama ya kukufikia utaumia sana kwenye shipping...
 
Tigoshop Bei ni Cheap zaid ya hio utapoteza. Haizidi 250k.
 
Simu yangu inanisimbua inajibonyeza yenyewe, nahisi ni touch ndiyo yenye shida maana imeacha uwazi. Je touch za readmi note 9 pro zinapatikana wapi kwa Dar na bei zake zipoje?
 
Simu yangu inanisimbua inajibonyeza yenyewe, nahisi ni touch ndiyo yenye shida maana imeacha uwazi. Je touch za readmi note 9 pro zinapatikana wapi kwa Dar na bei zake zipoje?
Nenda China plaza floor ya 2, ulizia Simuhub hapo utapata kila kitu juu ya tatizo la simu za Xiaomi
 
REDMI NOTE 10 FOR SALE( clean as new)
Haina mpasuko popote.
ROM: 128gb
RAM: 6gb
Price: 520k( kwa maelewano zaidi Njoo PM)
 

Attachments

  • IMG_20220926_155936.jpg
    47.4 KB · Views: 42
  • IMG_20220926_160050.jpg
    49.4 KB · Views: 40
Redmi 9T inachangamoto ya ukireboot haiwak tena had ukaishtue tena kule ndan kwa kuifungua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…