Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Redmi latest ni ipi kwa sasa?
 
Naombeni link ya lile group letu la Xiaomi kule telegram
 
XIAOMI TELEGRAM FANS GROUP

 
Habari wadau wa Xiaomi, natumia redmi note 11s ina camera nzuri Sana, Jana nilipata ajali pikipiki, Ile cover inayofunika camera kubwa imeharbka vibaya na kutoka. Nilivyojaribu camera naona nikiweka angle 0.6x inatoa vzr Ila nikiongeza mfano 1x au 2x inatoka ikiwa sio clear kabisa. Naomba kujua kama tatzo linarekebshika na pili naomba kujua kama back cover ya camera inapatikana maana lens ipo nje
 
Zunguka kwa mafundi simu unaweza kupata. Ikishindikana chukua AliExpress then peleka kwa fundi akubadilishie
 
๐–๐š๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ก๐ข๐ณ๐จ, ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ข ๐ณ๐ข๐ค๐จ ๐ฉ๐จ๐ฐ๐š??? ๐Š๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐š๐ง๐š ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐œ๐ก๐จ๐ค๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ณ๐š ๐“๐ž๐œ๐ง๐จ.
 
Ziko poa sana kikubwa ni kujua tu Xiaomi ipi itakufaa kulingana na bajeti yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ