Cheki Insta jamaa wanajiita Betterphones.Ooh sawaa kaka shukraan kuagiza huko aliexpress Sina uzoefu nako acha niende huko insta tuh
Simu nzuri tatzo ni mtkRedim 9 nikizima alaf niwashe inadai reboot hii inatokana na nn wakuu
Sawaa ndugu acha nijaribu na hiyo maana insta Kila sehem niliko elekezwa na wadau jamaa wanasema hawana hizo coverCheki Insta jamaa wanajiita Betterphones.
Ila nimeona wanauza phones tuhCheki Insta jamaa wanajiita Betterphones.
Ngoja kuna mtu nimuulize kama Kuna nyingine nitaleta hapa link. Au Kama Una mtu Moshi mjini kuna duka nililiona mwaka Juzi wana Covers za xiaomi zote. Lipo Stand Kubwa chini ya Ghorofa opposite na Choo kinachoitazama Double Road.Ila nimeona wanauza phones tuhView attachment 2625878
Ndio moshi yuko nitamchek nione km atakua na time leo then nikupe feedback nduguNgoja kuna mtu nimuulize kama Kuna nyingine nitaleta hapa link. Au Kama Una mtu Moshi mjini kuna duka nililiona mwaka Juzi wana Covers za xiaomi zote. Lipo Stand Kubwa chini ya Ghorofa opposite na Choo kinachoitazama Double Road.
Itakuwa labda ni aina ya OTG unayotumia imehalibika huwa zina tabia ya kuchagua sana OTGNa mmi kwenye note 10 pro nashindwa kutumia upande WA OTG
Nilipohama kwenye Samsung s10e nilikuwa natumia vzr Sana
Ukisoma specification kwa redmi note 10 pro ipo
Siku hizi nimekwama sna kwenye mambo ya movie na baadhi ya documents zangu kuzihamishia kwenye flash
Jaribu kununua OTG za Xiaomi halafu uwe unatumiaNa mmi kwenye note 10 pro nashindwa kutumia upande WA OTG
Nilipohama kwenye Samsung s10e nilikuwa natumia vzr Sana
Ukisoma specification kwa redmi note 10 pro ipo
Siku hizi nimekwama sna kwenye mambo ya movie na baadhi ya documents zangu kuzihamishia kwenye flash
Sijaelewa bado kuhusu hiyo feature ila ni muhimu kujua kuwa Xiaomi za Global version zinatumia Google Caller kwa hiyo kama hiyo feature haipo kwenye Google caller basi hautaipata kwenye simu yako piaNaomba msaada wa settings ya simu yangu Redmi note 10 pro kama nipo kwnye call iwe inanionyesha notification kuwa kuna mtu mwingine ananipigia
Cheki Insta jamaa wanajiita Betterphones.
Mcheki jamaa flani wa Twitter anajiita njiwa flow au jemsi munisi.Mambo Vp wakubwa
Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata cover za hz simu redmi note 7 au redmi 10x pro 5g kwa hapa dar au hata nje ya dar maana nimetafuta hadi bas asee[emoji17]
AliexpressRedmi note 11s imekufa touch screen naweza kupata wap wadau
Agiza AliExpressRedmi note 11s imekufa touch screen naweza kupata wap wadau
Huawei aliuliwa na US ban sio XiaomiRedim alikua soko la Huawei
Sasa cjui yeye atauliwa na nan
Maana ameshaanza nae kuharbu
Bidhaa zake
Well said. 👏Huawei aliuliwa na US ban sio Xiaomi
kivipi?Fanya vyote Ila usilogwe hzi simu uka_update software , utajutaaa