bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Chines phones uzuri wake ni kudumu na chaji tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tsh ngapi hizo ?Sisi watumishi wa Vivo je nilianza na techno,nimelogwa na Vivo y 78 5G na Y 85 pro 5 G si mchezo
10 C na 9C ipi bora mkuu ?Bongo around 365,000/= to 380,000/=
Kuanzia 350K mpk 450K unanishauri nichukue Redmi ipi yenye ubora Tigo shop ?Laki 5 na nusu unapata "Xiaomi Redmi Note 10 Pro" yenye 4GB RAM na 128GB ROM. Angalia specifications zake hapa Xiaomi Redmi Note 10 Pro: specs, benchmarks, and user reviews
Au ingia Mlimani City, nenda kwenye office za Tigo shop. Nunua "Xiaomi Redmi Note 11" yenye 6GB RAM na 128GB ROM. Bei yake ni exactly 550,000/= fixed ukinunua Tigoshop. Angalia specifications za Redmi Note 11 hapa Xiaomi Redmi Note 11: specs, benchmarks, and user reviews
Redmi Note 10 pia ni chaguo zuri sana, kwa bei hiyo utaipata yenye 6GB RAM na 128GB ROM Xiaomi Redmi Note 10: specs, benchmarks, and user reviews
Laki Saba themaniniTsh ngapi hizo ?
Mimi nikijitoa kununua simu mwisho Laki 5 siwezi kuvuka hapo.Laki Saba themanini
Bei za Tigo shop nowdays sio worth itKuanzia 350K mpk 450K unanishauri nichukue Redmi ipi yenye ubora Tigo shop ?
10C ni bora zaidi10 C na 9C ipi bora mkuu ?
Ahsante sana kwa muongozo huu.Bei za Tigo shop nowdays sio worth it
Kwa 450K chukua Redmi Note 12
Ukitaka brand nyingine tafuta Samsung Galaxy A14 5G, tofauti na hapo sidhani kama kuna simu nyingine nzuri kushinda hizi
Bora 12c10C ni bora zaidi
Hili jibu lako umetumia kigezo gani?Bora 12c
Redmi 12C hakuna kitu pale, wamedowngrade karibu kila kitu kutoka kwa 10C, pia Redmi 12C ina poor hardware ukilinganisha na Redmi 10C.Bora 12c
Bei mzeeHili jibu lako umetumia kigezo gani?
Jina au? 12C ni bora kwa 10C !!!!
Nimekuelewa nowBei mzee
Unaokoa zaidi ya 80k ukinunua 12cRedmi 12C hakuna kitu pale, wamedowngrade karibu kila kitu kutoka kwa 10C, pia Redmi 12C ina poor hardware ukilinganisha na Redmi 10C.
Bado Redmi 12C inakuja na MediaTek Helio G85 ambayo ni weak kuliko Snapdragon 680 ya kwenye Redmi 10C
Storage type ya Redmi 12C ni eMMC 5.1 wakati Redmi 10C ina faster UFS 2.2 storage type. Bado Redmi 12C inatumia microUSB, haifai kwa matumizi ya 2023, wakati Redmi 10C inakuja na USB Type C 2.0.
There's no way Redmi 12C ikawa better than Redmi 10C. No wonder inauzwa bei rahisi kushinda 10C
Yeah Redmi 12C ni value for money kwa sababu unapata kwa 260KUnaokoa zaidi ya 80k ukinunua 12c
Wachina kwa uongo ndio wewenyewe, ukicheki specification unaweza dhani hiyo simu ni midrange kumbe ni lowend shitRedmi note 124g wamechemka camera
Specification ya 50mp ni uongo
Short and clear. [emoji120][emoji120][emoji120]Redmi 12C hakuna kitu pale, wamedowngrade karibu kila kitu kutoka kwa 10C, pia Redmi 12C ina poor hardware ukilinganisha na Redmi 10C.
Bado Redmi 12C inakuja na MediaTek Helio G85 ambayo ni weak kuliko Snapdragon 680 ya kwenye Redmi 10C
Storage type ya Redmi 12C ni eMMC 5.1 wakati Redmi 10C ina faster UFS 2.2 storage type. Bado Redmi 12C inatumia microUSB, haifai kwa matumizi ya 2023, wakati Redmi 10C inakuja na USB Type C 2.0.
There's no way Redmi 12C ikawa better than Redmi 10C. No wonder inauzwa bei rahisi kushinda 10C