Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Hadi muda huu kwa Xiaomi kuliteka soko la smartphone nchini India, nini kilichochangia wakati jamaa hawana physical stores? Na kwann zinakuwa na bei nafuu huku zikiwa zina ubora wa hali juu?
 
Hadi muda huu kwa Xiaomi kuliteka soko la smartphone nchini India, nini kilichochangia wakati jamaa hawana physical stores? Na kwann zinakuwa na bei nafuu huku zikiwa zina ubora wa hali juu?View attachment 735570
kuna jamaa yangu India ameniambia wameshaeka physical store India.

wanauza rahisi sababu hawatumii premium material na wanaondoa vitu visivyo na maana au uhitaji mkubwa kwa watu, mfano
-simu zao nyingi sio water proof
-hazina wireless charging
-camera hazina OIS
-hawatumii super amoled kwenye simu nyingi etc

soma hii article ya muda kidogo
Xiaomi founder Lei Jun explains why his company doesn't do waterproof phones

utaona hapo huyo mwanzilishi wa Xiaomi anasema water proof tu inaongeza gharama karibu asilimia 20 mpaka 30 ya simu. hivyo simu kama redmi note 4 ingekuwa waterproof gharama zingetoka dola 150 mpaka 200, bado kueka amoled kuongeza dola 10 au 20 plus ois mwisho wa siku ingekuwa ghali kama Samsung A series.

Hata hao samsung wana simu zao mfano j7 nxt ni bei rahisi kushinda hata xiaomi za same category, Aggrey ipo kwa laki 4 na masoko kama india ni rs chini ya 10,000, lakini ukiishika tu simu unaona haivutii, plastic, kioo sio kizuri kama A series etc
Samsung Galaxy J7 Nxt (Black, 16 GB) Online at Best Price with Great Offers Only On Flipkart.com
 

Mkuu kwa hiyo xiaomi hazivutii?
 
Chief,
Mi natumia MI 5s plus, lkn USB port yake haikubali kwenye Pc yangu ya window 10, mwanzon ilikuwa inakubali lkn nw inazingua.

Nifanyejee mzee baba
 
Chief,
Mi natumia MI 5s plus, lkn USB port yake haikubali kwenye Pc yangu ya window 10, mwanzon ilikuwa inakubali lkn nw inazingua.

Nifanyejee mzee baba
umewahi update kimoja wapo? pc au simu? jaribu kueka upya drivers

njia rahisi ya kupata compatible drivers ni kueka software ya mtengeneza simu, mfano ukieka mi flash tool kwenye pc automatic itaeka na drivers za simu
 
Chief-Mkwawa inakuaje mzee nna tatizo moja kweny xiaomi yangu haishik 4g mzee ni xiaomi mi max 2
unatumia line gani? simu yako inakubali 4g ya band 3 (1800) na 40 (2300)

hivyo mitandao hii inakufaa
-Vodacom 4g
-TTCL 4g
-Smart 4g

na tigo pia itashika 4g lakini mjini tu,
 
Chief nimeona hii redmi 4x YouTube inafanyiwa test ya water resistant kwa kutumia coca cola ilikuwa inashindanishwa na galaxy s8 zote zikawa fresh baada ya test ila hii 4x ilionekana bora kulinganisha na price yake
 
unatumia line gani? simu yako inakubali 4g ya band 3 (1800) na 40 (2300)

hivyo mitandao hii inakufaa
-Vodacom 4g
-TTCL 4g
-Smart 4g

na tigo pia itashika 4g lakini mjini tu,
Mkuu kwa hapa Tanzania hizo simu zinapatikanaje mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…