Ƴes uko sahihiNi simu nzuri sana watu hawajui tu. Mimi niliagiza Beijing 2014, bado chuma kabisa. Niliweka protector kutunza screen ikagoma kufanya kazi ikasema remove protector. Kioo kama kilivyotka dukani mpaka leo. Hakuna mkwaruzo hata kidogo!
Hello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
Kwan we uliandikajeWadau hebu nijuzeni imekuaje manake tittle ya thread yangu ni tofauti na hii ya Leo au ni mambo ya moderators hayo
Sikumbuki vizuri but najua haikua hivo au ndio kuna mtu amepata access na akaunti yanguKwan we uliandikaje
Hiyo ni kazi ya mod mrSikumbuki vizuri but najua haikua hivo au ndio kuna mtu amepata access na akaunti yangu
kama sikosei Xiaomi DevicesWadau hebu nijuzeni imekuaje manake tittle ya thread yangu ni tofauti na hii ya Leo au ni mambo ya moderators hayo
Exactly ila naona muujuza ngoja niwaulize modskama sikosei Xiaomi Devices
Exactly ila naona muujuza ngoja niwaulize modskama sikosei Xiaomi Devices
Tumeingiliwa eeehhhExactly ila naona muujuza ngoja niwaulize mods
Ni kweli ndugu yanguTumeingiliwa eeehhh
Ni kweli ndugu yanguTumeingiliwa eeehhh
Kwema Lindi mkuuNi kweli ndugu yangu
Tuko poa kabisa mkuuKwema Lindi mkuu
Mkuu upo lindi?Tuko poa kabisa mkuu