BancABC kwa kushirikiana na MasterCard, wamezindua huduma mpya iitwayo M-Pesa-Mastercard ni ya kwanza na ya kipekee Tanzania itakayomuwezesha mteja wa M-Pesa kuweza kulipia huduma na bidhaa mitandaoni katika tovuti mbali mbali Duniani zinazopekea malipo kwa MasterCard. Kupata huduma hii ya Virtual Card piga *150*00# chagua lipa kwa M-Pesa, chagua M-Pesa MasterCard, kutengeneza kadi yako. Utapata Card Number, Expiration date pamoja na CVV Number ndani ya sekunde chache tu!
HAPANAHii mpk uwe na acc ya bancABC?
HAPANA
Uwe tu na line ya Vodacom yenye huduma ya M-pesa.
Simu na line ya Vodacom yenye huduma ya M-pesa tu.Em nitajie vitu vinavyohitajika kua navyo ili kufanikisha hili kwa mtu ambae hana acc yoyte ya bank
Card ipi unayozungumzia? Na card inayoexpire mwez mmoja ni ipiSimu na line ya Vodacom yenye huduma ya M-pesa tu.
Piga *150*00#
Chagua 4 lipa kwa Mpesa
Chagua namba 6
Chagua namba 1. Baada ya muda utapewa namba ya card na CVV.
Chakufanya tuma pesa kutoka mpesa kwenda kwenye card yako. Ndio ufanye manunuzi nk.
Hiyo card hu expire ndani ya mwezi 1.
M-pesa hawatoi card physical bali wanakupa namba ambazo ndio wana assume kuwa ni mastercard.Card ipi unayozungumzia? Na card inayoexpire mwez mmoja ni ipi
mkuu tiririka wataka ngapi nione kama nafika hapoOffer yako ngapi?
Mix 2. Hii ni high-end smartphone nzuri sana.
18:9 screen, 5.99" Full screen display
12% reduced chin size
Hidden speaker & proximity sensor
Snapdragon 835, 6GB RAM
Sony IMX386 sensor, 1.25μm large pixels
4-axis optical image stabilization
Four-sided curved ceramic body
7-series aluminum alloy frame
Global LTE support, 6 modes 43 bands
Mkuu naomba cons na prons za hizi simu mbili na ipi ni zaidi interms of battery life,camera,muonekano na perfomance yaani kiujumla kati ya hizi mbili ipi unaweza nishauri nichukue.
Xiaomi redmi note 5 pro ma Xiaomi Mi A2.
Chief-Mkwawa
Chief-Mkwawa
Wanasema haina headphone jack je unasikilizaje music na mapungufu mengine ni yapi ya a2 ambayo ni ya umuhimu kwenye smartphone na vipi wa camera kwa note 5 pro na kuhusu sd sio swala sana kwangu.Kwa ufupi Mi A2 ni standard za ulaya, ni simu classic kama ilivyokuwa A1 ina prioritise quality over quantity, na note 5 yenyewe ni za huku kwetu vitu vingi ni vikubwa.
Uzuri wa A2 over note 5 pro
1. Ina soc yenye nguvu zaidi snapdragon 660 compare na snapdragon 636 ya note 5. Hivyo tegemea A2 kuwa na processor, gpu, modem etc vyenye nguvu zaidi.
2. Nyembamba na nyepesi zaidi
3. Inatumia android one hivyo itakuwa nyepesi na inayopata updates za haraka. Pia ulinzi utakuwa mkubwa.
4. Camera nzuri zaidi.
5. Full compability ya band zetu za 4g hapa Tanzania (tunashare na ulaya)
Uzuri wa note 5 pro over A2
1. Bei rahisi zaidi
2. Battery kubwa la 4000mah compare na 3000mah ya A2
Kama ni power user na hujali sana ukaaji chaji A2 ni simu nzuri zaidi. Ila kwa matumizi ya kawaida huna haja na sd660. Save hela yako nunua redmi note 5
Unatumia earphone za type c,na nafkiri inakuja na adapter ya type c kwenda 3.5mm jack.Wanasema haina earphone jack na mapungufu mengine ni yapi ya a2 ambayo ni ya umuhimu kwenye smartphone na vipi wa camera kwa note 5 pro na kuhusu sd sio swala sana kwangu.
Unatumia earphone za type c,na nafkiri inakuja na adapter ya type c kwenda 3.5mm jack.
Kuhusu camera hata ya note 5 pro sio kwamba ni mbaya, ni nzuri pia sema tu A2 ni nzuri zaidi.
Vitu vyengine ni kwamba
-A2 haina memory card ila internal ni kubwa kuna 128gb na 64gb internal.
-pia naona site nyingi wanasema display yake sio nzuri kwenye mwanga mkali wa jua.
Muonekano wa note 5 pro naona wa kizamani hivi.Unatumia earphone za type c,na nafkiri inakuja na adapter ya type c kwenda 3.5mm jack.
Kuhusu camera hata ya note 5 pro sio kwamba ni mbaya, ni nzuri pia sema tu A2 ni nzuri zaidi.
Vitu vyengine ni kwamba
-A2 haina memory card ila internal ni kubwa kuna 128gb na 64gb internal.
-pia naona site nyingi wanasema display yake sio nzuri kwenye mwanga mkali wa jua.
Muonekano ni kama zinafanana.Muonekano wa note 5 pro naona wa kizamani hivi.
Hii lite haifikii pro, note 5 pro by miles ni simu nzuri zaidi.Na pia unazungumziaje mi a2 lite compare na note 5 pro.
hivi hii simu inasapoti OTG?Muonekano ni kama zinafanana.
Redmi note 5 pro
MI A2
Ndio zote 2hivi hii simu inasapoti OTG?
alaa kumbe zipo mbili? Hivi hiyo ya chini ndo zile zenye processor za atom eh?Ndio zote 2
Ahsanteh mkuu na android one hii imepata updates hii note 5 pro.Hii lite haifikii pro, note 5 pro by miles ni simu nzuri zaidi.