Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
1. Jaribu kwenda setting kisha security kisha device administrator angalia kuna nini na nini? Kikawaida kunakuwa na device manager tu, kama kuna kitu cha ziada ambacho hukijui untickXiaomi Mi A2 lite mkuu!
2. Kama matangazo yalianza baada ya kuweka apps zako wewe toa app za karibuni ulizoweka kabla tatizo halijaanza
3. Jaribu pia kwenda setting kisha apps kwenye list ya app zako angalia app ambazo hujaziweka. Kuna baadhi ya app zinakuwa blanks kabisa hazina jina.
4. Kuna firewall inaitwa glasswire ipo playstore pia unaweza ukaieka kwa muda itakuonesha app zinazoingia internet hasa huo wakati matangazo yanapotokea.