Kuna uzi wa earphone mkuu..ukiupitia ule utapata earphone kali zaid ya xiaomi..tena kwa bei almost sawa na za xiaomi..nahitaji earphone za xiaomi mwenye nazo naomba tuwasiliane kwa namba hii 0677991687 .Ofa yangu elfu 15K usafiri juu yangu
naomba namba yako mkuu ili nikiipata hiyo pesa uniagizie aseeTafuta 20k agizia aliexpress, hapa bongo kupata kwa hiyo budget yako labda xiaomi fakeView attachment 924795View attachment 924796View attachment 924797
Na ukinunua kwa jumla alibaba ni chini ya hapoKuna uzi wa earphone mkuu..ukiupitia ule utapata earphone kali zaid ya xiaomi..tena kwa bei almost sawa na za xiaomi..
Mi narecomend Rock Zircon hizi ni balaa..nilinunua kwa 24,000 tu...tareh 11 kuna discount zitapatakana hadi kwa 7 usd
mkuu ntazipata wapi sasa ? maana ni ngumu kupata aseeKuna uzi wa earphone mkuu..ukiupitia ule utapata earphone kali zaid ya xiaomi..tena kwa bei almost sawa na za xiaomi..
Mi narecomend Rock Zircon hizi ni balaa..nilinunua kwa 24,000 tu...tareh 11 kuna discount zitapatakana hadi kwa 7 usd
Zinapatkana ali express mkuu..fanya uziagize tu..mim nilinunua hukomkuu ntazipata wapi sasa ? maana ni ngumu kupata asee
basi nakuomba mkuu kama waweza niagizia nisaidie kwa hilo maana mie siyo mdhoefu wa onlineZinapatkana ali express mkuu..fanya uziagize tu..mim nilinunua huko
Wafanya biashara wa kariakoo wanshindwaje kutuletea hizi product..mbona ni bei rahis huko alibabaNa ukinunua kwa jumla alibaba ni chini ya hapo
Okey..nichek pm mkuubasi nakuomba mkuu kama waweza niagizia nisaidie kwa hilo maana mie siyo mdhoefu wa online
Na mi niliongea hivyo kwa maana hio hio, sababu kama unaipata kwa dola 6 na bei ya reja reja ni 25,000 mpaka 30k faida ni kubwa sana, kwanini hawaleti?Wafanya biashara wa kariakoo wanshindwaje kutuletea hizi product..mbona ni bei rahis huko alibaba
Hili ni janga kama la paypal kipind cha nyuma...mbaya zaid hata wakileta watatukamua sana ...kuna jamaa k.koo wanauza poco f1 kwa 1.2m [emoji119][emoji16]Na mi niliongea hivyo kwa maana hio hio, sababu kama unaipata kwa dola 6 na bei ya reja reja ni 25,000 mpaka 30k faida ni kubwa sana, kwanini hawaleti?
nunulia avechi ile site ya kenya bei zao si mbaya sana kihivyo.Tatizo bei mkasi kwa bongo japo sina hakika unaweza kuta 5 pro unauziwa 600k wakati ukiagiza unasve 90k hata na zaidi.
Avechi shipping cost ni 31k na hawana machaguo mengi zaidi mkuu nishapita kote huko sasa mfano simu ya 280k inabidi uwe na 310k hapo kunakuw hakuna unafuu wowote. Na bado simu zao ziko juu sana mkuu.au
nunulia avechi ile site ya kenya bei zao si mbaya sana kihivyo.
Pitia aliexpress kuna sale inaendelea unaweza pata LG G5Nina laki 250nahitaji lg mpyaaa
Hili ni janga kama la paypal kipind cha nyuma...mbaya zaid hata wakileta watatukamua sana ...kuna jamaa k.koo wanauza poco f1 kwa 1.2m [emoji119][emoji16]
Kwakwel sijajua shida nn mkuu..ila nahis ni tamaaa tu zao..Hivi tatizo kubwa hasa huwa ni tamaa ya wafanyabiashara au ni kweli kwamba gharama za usafirishaji ni juu??