Sio tamaa mzee ni DEMAND AND SUPPLYKwakwel sijajua shida nn mkuu..ila nahis ni tamaaa tu zao..
Hii pia inachangia sana, wafanyabiashara wengi wanaangalia simu au bidhaa zinazo toka sana. Na ukiangalia bongo wengi hatuna uelewa wa simu, mtu anaenda dukani anahitaji simu yenye whasApp au Facebook kazi inabaki kwa muuzaji kumchagulia.Sio tamaa mzee ni DEMAND AND SUPPLY
Na tamaa ipo tele mkuu..Sio tamaa mzee ni DEMAND AND SUPPLY
Hii pia inachangia sana, wafanyabiashara wengi wanaangalia simu au bidhaa zinazo toka sana. Na ukiangalia bongo wengi hatuna uelewa wa simu, mtu anaenda dukani anahitaji simu yenye whasApp au Facebook kazi inabaki kwa muuzaji kumchagulia.
Sio tamaa mzee ni DEMAND AND SUPPLY
Ukiona hivyo ujue demand ya viwa na tecno ni kubwa kuliko hizo unazotaka wewe, watu wachache wanajua kuhusu hizo oppo, na MI devices, sasa unataka mtu akanunue mzigo ajaze duka awauzie watu watatu kutoka jamiiforums, hamna mtu anafanya ujinga huoDemand and supply ya nini??frem zote kariakoo wanauza viwa na tecno!!!yaani akili zao zimesisimama hapo.ma tecno yapo mpaka ya laki 7,kwani ukiweka oppo,MI,vivo pekee dukani kwako unaanzaje kukosa wateja,watu wameyachoka hayo masimu ni vile ndio yamejaa kariakoo.
Ukiona hivyo ujue demand ya viwa na tecno ni kubwa kuliko hizo unazotaka wewe, watu wachache wanajua kuhusu hizo oppo, na MI devices, sasa unataka mtu akanunue mzigo ajaze duka awauzie watu watatu kutoka jamiiforums, hamna mtu anafanya ujinga huo
So watu wanauza iphones, samsungs wakose mtaji wa oppo?Sema mitaji ni dhaifu,kwa wafanyabiashara na wanunuzi pia.
Kuliko kutoa mil 5 upange simu 10 za laki tano tano,unatoa mil 5 upate simu 20 kaduka kapendeze.akija mteja unaanza hii simu ina 4g,hata hujui 4g ni kitu gani.
So watu wanauza iphones, samsungs wakose mtaji wa oppo?
Nabeba xiaomi babake maana iPhone 5s ni kadogo mnoOk kumbe sasa uelewe watu wanafanya biashara kwa mazoea,wala hakuna kujitetea,unataka kuniambia ukiweka hizo simu hakuna mteja atataka kuuliza hata zinafananaje umfafanulie achukue!!!!
Iphone 5s mpya dukani haishuki laki nne,kwa laki nne hiyo ukitafuta simu ya oppo au MI ukazipanga pamoja kwa fikra zako mteja atachukua simu gani??
Hamna mtu ana huo muda wa kuwafafanulia watu, xiaomi waje hapa wafanye matangazo yao then wakimaliza ndio watu waanze kuziuza sio mwenye duka ndio aanze kuzimarket simu za kampuni nyingineOk kumbe sasa uelewe watu wanafanya biashara kwa mazoea,wala hakuna kujitetea,unataka kuniambia ukiweka hizo simu hakuna mteja atataka kuuliza hata zinafananaje umfafanulie achukue!!!!
Iphone 5s mpya dukani haishuki laki nne,kwa laki nne hiyo ukitafuta simu ya oppo au MI ukazipanga pamoja kwa fikra zako mteja atachukua simu gani??
Xiaomi hawaji kama hamna miundombinu ya online.Hamna mtu ana huo muda wa kuwafafanulia watu, xiaomi waje hapa wafanye matangazo yao then wakimaliza ndio watu waanze kuziuza sio mwenye duka ndio aanze kuzimarket simu za kampuni nyingine
Nani anaijua viwa? Issue hapa ni uvivu wa wafanyabiashara, wanataka waletewe bidhaa hadi mlangoni na hapo ndio unakuta makopo matupu yanauzwa Tanzania. Achana na viwa kuna vitu vya ajabu sana sijui simu za Disco, battery za mkulima etcUkiona hivyo ujue demand ya viwa na tecno ni kubwa kuliko hizo unazotaka wewe, watu wachache wanajua kuhusu hizo oppo, na MI devices, sasa unataka mtu akanunue mzigo ajaze duka awauzie watu watatu kutoka jamiiforums, hamna mtu anafanya ujinga huo
Well said,mm nilitafuta maduka yte tcl tv yenye roku os nikakosa kabisa,nikapiga hesabu ya kuagiza amazon ila shipping cost ikanishinda.Nani anaijua viwa? Issue hapa ni uvivu wa wafanyabiashara, wanataka waletewe bidhaa hadi mlangoni na hapo ndio unakuta makopo matupu yanauzwa Tanzania. Achana na viwa kuna vitu vya ajabu sana sijui simu za Disco, battery za mkulima etc
Naweza kukuchallenge hapa unioneshe kitu ambacho ni best bang for the bucks na ukakikosa hata kimoja kwenye masoko yetu.
Memory card zetu class 4, flash zetu same, simu za mediatek, laptop refurbished, samsung zetu na iphone refurbished, mouse zenye dpi ndogo, usb cable zenye mapungufu lukuki, same kwa chaja, etc
Kila kitu chetu sisi ni matatizo na ukitafuta zile bidhaa ambazo ni best kwa hela yako huzipati.
Mfano chukulia huawei ana simu zake vimeo za mediatek na ana simu nzuri kwa brand ya Honor, hizi Honor anaziuza India, Ulaya etc halafu vimeo vya mediatek (na hata snapdragon) anakuja kuvidump huku na kina Tigo wanamsaidia kuuza. Je sisi tuna demand ya vifaa vya low quality kama hivyo? Tanzania hatuna demand ya simu nzuri za bei rahisi kama Honor?
Angalia TCL na Roku na os ya Linux, Tv za Africa tunaekewa linux kwa bei kubwa huku Ulaya na Marekani wanaekewa Roku ambayo ni nzuri zaidi na bei ndogo zaidi (japo wana kodi kubwa zaidi yetu)
Yani mkuu huku kwetu uelewa wetu mdogo haya makampuni yanatake advantage na kuja kutubamiza hakuna cha demand wala supply, na ataetukwamua si mchina wala mkorea tunatakiwa wenyewe tubadilishe hii hali.
Mkuu ingia inbox nimekutumia msg.Nani anaijua viwa? Issue hapa ni uvivu wa wafanyabiashara, wanataka waletewe bidhaa hadi mlangoni na hapo ndio unakuta makopo matupu yanauzwa Tanzania. Achana na viwa kuna vitu vya ajabu sana sijui simu za Disco, battery za mkulima etc
Naweza kukuchallenge hapa unioneshe kitu ambacho ni best bang for the bucks na ukakikosa hata kimoja kwenye masoko yetu.
Memory card zetu class 4, flash zetu same, simu za mediatek, laptop refurbished, samsung zetu na iphone refurbished, mouse zenye dpi ndogo, usb cable zenye mapungufu lukuki, same kwa chaja, etc
Kila kitu chetu sisi ni matatizo na ukitafuta zile bidhaa ambazo ni best kwa hela yako huzipati.
Mfano chukulia huawei ana simu zake vimeo za mediatek na ana simu nzuri kwa brand ya Honor, hizi Honor anaziuza India, Ulaya etc halafu vimeo vya mediatek (na hata snapdragon) anakuja kuvidump huku na kina Tigo wanamsaidia kuuza. Je sisi tuna demand ya vifaa vya low quality kama hivyo? Tanzania hatuna demand ya simu nzuri za bei rahisi kama Honor?
Angalia TCL na Roku na os ya Linux, Tv za Africa tunaekewa linux kwa bei kubwa huku Ulaya na Marekani wanaekewa Roku ambayo ni nzuri zaidi na bei ndogo zaidi (japo wana kodi kubwa zaidi yetu)
Yani mkuu huku kwetu uelewa wetu mdogo haya makampuni yanatake advantage na kuja kutubamiza hakuna cha demand wala supply, na ataetukwamua si mchina wala mkorea tunatakiwa wenyewe tubadilishe hii hali.
Nabeba xiaomi babake maana iPhone 5s ni kadogo mno
Hamna mtu ana huo muda wa kuwafafanulia watu, xiaomi waje hapa wafanye matangazo yao then wakimaliza ndio watu waanze kuziuza sio mwenye duka ndio aanze kuzimarket simu za kampuni nyingine
Naweza kupata Huawei honor 7x Kwa hapa bongo au mpaka online? Bei yake ni ngapi?Xiaomi hawaji kama hamna miundombinu ya online.
Tuliletewa jumia hapa ambayo kama xiaomi wangekuja ingetumika ila no one care wakaamua kuibadili jumia ya zamani kuja hii jumia ya sasa ambayo ni chimbo la madalali wa aggrey.
Kenya bado wana jumia ya zamani unaweza ukaingia na kuiangalia ni full official products na store.
Ninayo hiyo naiuza 580k bdo mpya under warrantyNaweza kupata Huawei honor 7x Kwa hapa bongo au mpaka online? Bei yake ni ngapi?
Acha kupotosha ndugu UMEWAI KUTUMIA Google pixels? Meizu je? OPPO? Hiyo MI, Huawei na MEIZU zimewai kushindanishwa MEIZU ikawa ndo BABA LAO acha kupotosha kisa ulikuwa unatumia TECNO