Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Zipo lkn ni kwa bei kubwa sana kipindi cha nyuma niliagiza yenye 10000mAh kwa dollar 25, lkn siku hizi hawatumi tena vitu vyenye battery kubwa kwa njia ya post, kutokana na sheria mpya ya usafirishaji ya posta, kuhofia zinaweza kulipuka.
76fe4b8f0ad5363697234992c4552a27.jpg

7bf2cf6b70a7e546e1a6150d67921f6d.jpg
f84aa48f79180b4277434c6b7460ab7e.jpg
Ziko vizuri sana izi naweza pata wapi mjini dsm izi?
 
Binafsi naweza kuweka hiyo playstore that's why nimeiagiza.
Chini ya jua hili hakipo ambacho hakiwezekani.
Sasa playstore ya ku install haifanyi kazi flesh kama inakuja na firmware moja kwa moja
 
hata hiyo note 4...inategemea inatumia ROM gani...sio Note 4 zote zinatumia MIUI ROM moja....fanya research mkuu kabla ya kuandika umu.

Mi nilifanya research tena ni baada na kuflash MI note 4 moja iliyokua inastack kwenye android logo na nilitumia latest toom ika baada ya kufungukua playstore hakuna na simu ina android 6.o

Nachoandika hapa sibahatishi
 
Mi nilifanya research tena ni baada na kuflash MI note 4 moja iliyokua inastack kwenye android logo na nilitumia latest toom ika baada ya kufungukua playstore hakuna na simu ina android 6.o

Nachoandika hapa sibahatishi
umebahatisha mjomba...hufanyi kazi yako vzuri...kila simu ya xiaomi ina ROM ambayo ina stahili kuwekewa, na simu zote za xiaomi usione zimeandikwa tu android lakini ujue kabisa tuna custom ROM yetu tunayoitumia inayoitwa MIUI...na kila simu ina uwezo wa kusapot MIUI version yakwake...ndo maana unaeza kukuta xiaomi redmi 3x mpka sasa awajatoa update ya MIUI 9, lakini xiaomi redmi 4x inayo MIUI 9....na pia ujue kabisa hzo MIUI zpo za aina tofauti...kuna Global version, kuna Chinese Version, Kuna Beta, kuna Global Stable ROM...unazoona nmeandika Global zina uwezo sawasawa wa kua na play store...

uyo mteja wako alileta cmu itengenezwe kwa mtu asiyejua simu yake inaitaji kitu gani iweze kutimia...
nenda MIUI Forum ama download app hiyo ueze kujifunza zaidi kuhusu MIUI na xiaomi kwa ujumla...
elimu ya bure utaipata kule, ila tatizo watanzania kushauriwa hua tunaona kama tunasemwa na mtu auwezi kubali kuambiwa ufanye jambo fulani ambalo kitakufungua upeo wa ujuzi wa mambo
 
Mi nilifanya research tena ni baada na kuflash MI note 4 moja iliyokua inastack kwenye android logo na nilitumia latest toom ika baada ya kufungukua playstore hakuna na simu ina android 6.o

Nachoandika hapa sibahatishi
by the way hata hyo chinese ROM unaeza weka google play services na ushahidi ninao...
 
umebahatisha mjomba...hufanyi kazi yako vzuri...kila simu ya xiaomi ina ROM ambayo ina stahili kuwekewa, na simu zote za xiaomi usione zimeandikwa tu android lakini ujue kabisa tuna custom ROM yetu tunayoitumia inayoitwa MIUI...na kila simu ina uwezo wa kusapot MIUI version yakwake...ndo maana unaeza kukuta xiaomi redmi 3x mpka sasa awajatoa update ya MIUI 9, lakini xiaomi redmi 4x inayo MIUI 9....na pia ujue kabisa hzo MIUI zpo za aina tofauti...kuna Global version, kuna Chinese Version, Kuna Beta, kuna Global Stable ROM...unazoona nmeandika Global zina uwezo sawasawa wa kua na play store...

uyo mteja wako alileta cmu itengenezwe kwa mtu asiyejua simu yake inaitaji kitu gani iweze kutimia...
nenda MIUI Forum ama download app hiyo ueze kujifunza zaidi kuhusu MIUI na xiaomi kwa ujumla...
elimu ya bure utaipata kule, ila tatizo watanzania kushauriwa hua tunaona kama tunasemwa na mtu auwezi kubali kuambiwa ufanye jambo fulani ambalo kitakufungua upeo wa ujuzi wa mambo
Mimi ambayo nimekutana nayo no Note 4 kuhusu zingine siwezi kuzisemea ila nilijaribua ku browse sehemu mbali mbali kutafuta firmware inayoweza kufix playstore sikuona na ukijaribu kuingia kwenye hio forum unaambiwa eti u install apk ambapo uki install apk baada ya kuinstall ukiifungua inakua loading.... masaa mia.

Ukitumia MI STORE ukidownlaod whatsapp inakua out of date yaani full usumbufu.
Tofauti na hapo hizi apps zingine unadownload apks ndio una insatall kawaida

Kama una link yenye firmware inayofix playstore kwenye Xaomi note 4 niwekee links hapa halafu nitakupa jibu kesho baada ya kuidownload firmware na kui write kwenye simu husika
 
by the way hata hyo chinese ROM unaeza weka google play services na ushahidi ninao...
Playstore service utaweka kwa kuinstall apk ila haifanyi kazi kama inayokua kwenye custom room ya simu husika
 
Playstore service utaweka kwa kuinstall apk ila haifanyi kazi kama inayokua kwenye custom room ya simu husika
Ndugu mbona una bishana kwa jambo lililo kushinda wewe tu.

It's better uombe kuelekezwa hilo lililokushinda kuliko kubishana, because huna utakacho jifunza.
 
Ndugu mbona una bishana kwa jambo lililo kushinda wewe tu.

It's better uombe kuelekezwa hilo lililokushinda kuliko kubishana, because huna utakacho jifunza.
Nimekuomba link ya hio custom room inayofix playstore ili na mimi nijionee sio kuambiwa tu.

Majibu nitayaleta hapa hapa...
 
Playstore service utaweka kwa kuinstall apk ila haifanyi kazi kama inayokua kwenye custom room ya simu husika
huwa apps za google zinaendana na version unayotumia, hata unapoeka custom rom huwezi ukainstall google apps yoyote ile inabidi ueke husika ya version yako. mfano una rom lolipop huwezi install google apps za kitkat utegemee zifanye kazi, zitaload siku nzima.

hapo fanya hivi.
1. install google apps kupitia hio installer, hakikisha app zote zimeingia.
2. by default xiaomi inablock kudownload vitu na mobile data, hivyo hakikisha kila app unairuhusu idownload usibakishe viporo, au ili kuwa salama zaidi tumia wifi ukirun hio google installer.
3. zikimaliza kuingia apps zote fungua store, ikiwa inaload tu download manuall playstore na play service ureplace hizo.
4. zikiingia hizo app tumia ku update apps nyengine za google ulizoeka mwanzo, kwenye playstore ingia my apps cheki updates, zi update zote.

enjoy simu yako
 
NILIKUA SIJAAMUA PIA KUTUMIA SECOND SPACE BUT NOW HAPA NAINJOY ATA MAGENDO Yngu.ntapiga yote but hakun WIFU KUSTUKIA HAPA YEYE NIMEMWACHIA PASWED ZA FIRST SPACE NA FINGERPRINT AMEWEKA ILA SECOND SPACE NIKO NA PASWED INGINE KABISA
Simu yko aina gn pls!
 
Mkuu utajuaje ni Amazon wenyewe au kwa kuangalia link!?
huwa wanaandika chini ya bidhaa

-hapa wameandika ships/sold by amazon, inamaana hio bidhaa ipo ndani ya maghala ya amazon, ukinunua itatoka humo na kutumiwa wewe.
tjCGiKI.jpg


-hapa wameandika sold by nexxt and fulfiled by amazon, inamaana kuna mtu anaitwa nexxt huko anauza bidhaa yake kupitia amazon.

z55D2Nc.jpg


amazon ni ngumu kustock bidhaa feki, hivyo ni vyema kununua kwao
 
huwa apps za google zinaendana na version unayotumia, hata unapoeka custom rom huwezi ukainstall google apps yoyote ile inabidi ueke husika ya version yako. mfano una rom lolipop huwezi install google apps za kitkat utegemee zifanye kazi, zitaload siku nzima.

hapo fanya hivi.
1. install google apps kupitia hio installer, hakikisha app zote zimeingia.
2. by default xiaomi inablock kudownload vitu na mobile data, hivyo hakikisha kila app unairuhusu idownload usibakishe viporo, au ili kuwa salama zaidi tumia wifi ukirun hio google installer.
3. zikimaliza kuingia apps zote fungua store, ikiwa inaload tu download manuall playstore na play service ureplace hizo.
4. zikiingia hizo app tumia ku update apps nyengine za google ulizoeka mwanzo, kwenye playstore ingia my apps cheki updates, zi update zote.

enjoy simu yako
Hichi kichwa chako chief mkwawa umejaza tec Tupu halafu ukarimu Upo kwako unawashirikisha wengi kinachowatatiza, Hongera sana mkuu na heri ya Christmas na mwaka Mpya

Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
 
Nouma sana aisee
Hawa wachina noma yaani hapa kwenye second space unaweka app zingine tofauti na first space na haziingiliani yaani simu mbili kwa moja, unaweza kuwa Facebook nne whatsup 4 bila kutumia app ya kuongeza app ukahifadhi picha sehemu nyingine tofauti na ya kwanza
 
Back
Top Bottom