Mimi siwezi kuiacha m-pesa master card mpaka nilizwe pesa.
Hivi hapana kwakweli na sidhani Kama ntakuwa na muda wa kwenda benk kufungua physical account kwamaana hii m-pesa master card ni chap kdogo tu na tayari nshafanya manunuzi makubwa tu last two weeks ago.
Nimeununua Xiaomi Redmi7 brand new, nikaagiza lether belt, iPhone earphone brand new, lether wallet, na necklace special kwa demu wangu.Je mpaka hapo nitake Nini Sasa?
Nachelea kusema kwamba, mpaka ntakapolizwa ndo naacha kuitumia m-pesa master card.
View attachment 1251508View attachment 1251509View attachment 1251510View attachment 1251511View attachment 1251513