jwhizzy
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 680
- 389
Daah ina stua Sana... Mwaka juzi wakati nimeanza kununua vitu AliExpress mwezi Kama wa 11 hivi nilinunua simu 2 hivi kipindi hicho Xiomi zipo juu kweli. Nilitupa Kama 500$ daah yaani mzigo unaonesha umefika Tanzania lakini mwisho wa siku naambiwa na watu WA posta bag lilokuwa na mzigo Wangu kuna baadhi ya mzigo imepotea ikiwemo wangu. Sasa sijaelewa hii tracking number huwa inasoma vipi?
Kwa hiyo Kama mzigo hata ukipotea huko njiani tracking number ita confirm vipi mzigo umefika hapa Tanzania.? Nafikiri watu wa shipment ya Tanzania ndio Wana confirm kwenye system.
Ila naona miezi hii ndio mizigo mingi hupotea Sana kuliko miezi mingine sijui kwanini?
Kwa hiyo Kama mzigo hata ukipotea huko njiani tracking number ita confirm vipi mzigo umefika hapa Tanzania.? Nafikiri watu wa shipment ya Tanzania ndio Wana confirm kwenye system.
Ila naona miezi hii ndio mizigo mingi hupotea Sana kuliko miezi mingine sijui kwanini?
Hata mimi kuna mzigo wangu ulikwama hapo. Baada ya siku 15 nikaanza kupigia simu posta Dar es Salaam wakanijibu kuwa mzigo wangu uli-miss kwenye bag lilipokelewa. Baadae nika-open dispute nikalipwa.
Na kweli mpaka leo sijaupata toka mwezi wa tisa. Ulitumwa kwa standard shipping View attachment 1258714