Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Daah ina stua Sana... Mwaka juzi wakati nimeanza kununua vitu AliExpress mwezi Kama wa 11 hivi nilinunua simu 2 hivi kipindi hicho Xiomi zipo juu kweli. Nilitupa Kama 500$ daah yaani mzigo unaonesha umefika Tanzania lakini mwisho wa siku naambiwa na watu WA posta bag lilokuwa na mzigo Wangu kuna baadhi ya mzigo imepotea ikiwemo wangu. Sasa sijaelewa hii tracking number huwa inasoma vipi?

Kwa hiyo Kama mzigo hata ukipotea huko njiani tracking number ita confirm vipi mzigo umefika hapa Tanzania.? Nafikiri watu wa shipment ya Tanzania ndio Wana confirm kwenye system.

Ila naona miezi hii ndio mizigo mingi hupotea Sana kuliko miezi mingine sijui kwanini?

Hata mimi kuna mzigo wangu ulikwama hapo. Baada ya siku 15 nikaanza kupigia simu posta Dar es Salaam wakanijibu kuwa mzigo wangu uli-miss kwenye bag lilipokelewa. Baadae nika-open dispute nikalipwa.
Na kweli mpaka leo sijaupata toka mwezi wa tisa. Ulitumwa kwa standard shipping View attachment 1258714
 
Hata mimi kuna mzigo wangu ulikwama hapo. Baada ya siku 15 nikaanza kupigia simu posta Dar es Salaam wakanijibu kuwa mzigo wangu uli-miss kwenye bag lilipokelewa. Baadae nika-open dispute nikalipwa.
Na kweli mpaka leo sijaupata toka mwezi wa tisa. Ulitumwa kwa standard shipping View attachment 1258714
Hiyo imeshawai kunitokea so Afsa pale posta Mpya alijaza form fulani na kuzituma Singapore post pia nakala nikapewa niupload AE kama evidence ili wanirefund.
Yaani Dispatch(Bag) linakuwa na item nyingi ila inatokea mzigo wako wanausahau kutumbukiza kwenye bag husika huko ulikotumwa ingawa kwenye orodha unakuwepo,
Hilo fuko ndiyo linatrackiwa so why tracking inaonyesha mzigo ushafika destination country ila kiuhalisia mzigo wako unakuwa haupo kwenye bag.
sijui kama nimeeleweka hapa
 
Basi wengi packages zetu zitakuwa zimepotea kwa mpango huo
Hiyo imeshawai kunitokea so Afsa pale posta Mpya alijaza form fulani na kuzituma Singapore post pia nakala nikapewa niupload AE kama evidence ili wanirefund.
Yaani Dispatch(Bag) linakuwa na item nyingi ila inatokea mzigo wako wanausahau kutumbukiza kwenye bag husika huko ulikotumwa ingawa kwenye orodha unakuwepo,
Hilo fuko ndiyo linatrackiwa so why tracking inaonyesha mzigo ushafika destination country ila kiuhalisia mzigo wako unakuwa haupo kwenye bag.
sijui kama nimeeleweka hapa
 
Umeeleweka. Hata mimi waliniambia wametuma missing report kwenda singapore post
Hiyo imeshawai kunitokea so Afsa pale posta Mpya alijaza form fulani na kuzituma Singapore post pia nakala nikapewa niupload AE kama evidence ili wanirefund.
Yaani Dispatch(Bag) linakuwa na item nyingi ila inatokea mzigo wako wanausahau kutumbukiza kwenye bag husika huko ulikotumwa ingawa kwenye orodha unakuwepo,
Hilo fuko ndiyo linatrackiwa so why tracking inaonyesha mzigo ushafika destination country ila kiuhalisia mzigo wako unakuwa haupo kwenye bag.
sijui kama nimeeleweka hapa
 
Nitazama kwa rn8 kesho sale itakapoanza,,,,Shukran kwa mchango wako mkuu
Ikiwa AMOLED display na In Display Fingerprint sensor ni vitu unavyopenda chukua Mi A3 lakini ujue resolution yake ni ndogo 720p wakati Note 8 ina 1080p.
Mi A3 haina Macro lens lakini Note 8 inayo. Mi A3 ina selfie kamera bora zaidi.
Ikiwa wewe ni mpenzi wa screen ndogo basi Mi A3 ndio simu ya kuchukua. Ikiwa wewe ni mpenzi wa Stock Android chukua Mi A3 lakini ujue utakosa utamu wa features za MIUI[emoji16]

Kwa mimi, Nadhani ningechukua Redmi Note 8 kuliko Mi A3 [emoji6]
 
Back
Top Bottom