spectator Ion
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 349
- 369
Kabisa mkuu[emoji23][emoji23]Itabidi nasisi tuanzishe uzi wetu aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu[emoji23][emoji23]Itabidi nasisi tuanzishe uzi wetu aise
😂😂😂😂😂 mkuu hajakujibu kwann hadi saiv na last seen ni saa 1 leo ya usiku huu!Nieleweshe kwanin umeni remove kwa group bila sababu ya msingi?...
Mshamba tu huyo inaonekana ni mara yake ya kwanza kufungua group la telegram hivo anababaika na namba ya subscribers (Members)😂😂😂😂😂 mkuu hajakujibu kwann hadi saiv na last seen ni saa 1 leo ya usiku huu!
View attachment 1401760 View attachment 1401765
Nauza Mi note 4
170k tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kuna mtu kajaribu karibuni eg mwezi huu wa 3 kununua mzigo aliexpress na ukafika au corona ni kikwazo kwa ishu ya mipaka? Kuna mzigo nataka kununua.
Thanks Mamy..Nilitaka kuagiza simu yangu juzi lkn nahofia, ngoja nijitoe muhanga kesho niagize kitu chochote Cha Bei ndogo kwanza nitakupa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks Mamy..
Nami basi nijaribu ili kama ukifika, ufike ila najaribu kama wewe kwa bei rahisi
Nakupa 80 fasta hapa pesa iko mfuko Wa shati, sababu simu ni ya miaka mitatu ikiyopita so ishaexpire inaweza zima mda wowote maana life span ya simu ni 3yrs hivyo changamkia fursaView attachment 1401760 View attachment 1401765
Nauza Mi note 4
170k tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa 70 chap, nitumie namba yako tumalizane, hiyo simu ni tangu mtoto wa jirani anazaliwa!View attachment 1401760 View attachment 1401765
Nauza Mi note 4
170k tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pia mara chache zaweza sumbua networkMaandishi ya kichina. Global rom hazina shida labda tu kile kitendo cha simu kuwa flashed ndio kinaifanya simu ishuke thamani hata sokoni bei ipo chini compare na global version.
Arusha vinapatikana hiviWakuu hii bidha inaweza nifikia kwa shilingi ngapi mpaka bongoView attachment 1389088
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuagiza simu yangu juzi lkn nahofia, ngoja nijitoe muhanga kesho niagize kitu chochote Cha Bei ndogo kwanza nitakupa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haiji, wiki ya 3 sasa mie tangu seller atume. Mzigo haujatuaNilitaka kuagiza simu yangu juzi lkn nahofia, ngoja nijitoe muhanga kesho niagize kitu chochote Cha Bei ndogo kwanza nitakupa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mizigo inatakiwa ifike mana saiv kule angalau pametuliaMkuu haiji, wiki ya 3 sasa mie tangu seller atume. Mzigo haujatua
Dumelang
Nadhani shida sio kule China...wanatuma, ila shida ni shipping company ndo ina delayMizigo inatakiwa ifike mana saiv kule angalau pametulia
Mix 2s bei gani[emoji91]Almost brand new Xiaomi smartphones[emoji91] Mzigo unakimbia kwa kasi... haya tena wale wenye bajeti ndogo na wanataka kumililiki Xiaomi, list hii hapa chagua simu uipendayo utapewa bei hadi kuipata mkononi. Partager sur WhatsAppView attachment 1405465View attachment 1405466
Sent using Jamii Forums mobile app