Emmanuel S Jonathan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 379
- 278
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp box lipo? Na risiti?
Vp box lipo? Na risiti?
S9+ itakuwa nzuri zaidi, ila ni refurb mkuu, Tena zina kidoti, unless unajua unacho nunua ni vyema kuachana nazo.Chief-Mkwawa
Kuna mtu anauza Samsung
Samsung S9 300,000/-
Samsung S9+ 360,000/-
Samsung note 8 360,000/-
Ni used zile zenye kidoti kwenye kioo.
Vipi hiyo bei ni kubwa au ipo poa?
Na ipi kati ya hizo ya kuchagua kwa ubora kuliko nyingine.
Msaada wako mkuu.
Na kwa kuongezea tu leo kuna sell simu ziko kwenye mapunguzo makubwa tu ! S kwingine ni huko duniani kazi kwenuS9+ itakuwa nzuri zaidi, ila ni refurb mkuu, Tena zina kidoti, unless unajua unacho nunua ni vyema kuachana nazo.
Nunua Xiaomi redmi note 10, ina Amoled nayo utapata display nzuri na perfomance pia si haba.
Asante mkuu kwa ushauri mzuriS9+ itakuwa nzuri zaidi, ila ni refurb mkuu, Tena zina kidoti, unless unajua unacho nunua ni vyema kuachana nazo.
Nunua Xiaomi redmi note 10, ina Amoled nayo utapata display nzuri na perfomance pia si haba.
Sasa box la nini?Vp box lipo? Na risiti?
Bei shingap
S9+ itakuwa nzuri zaidi, ila ni refurb mkuu, Tena zina kidoti, unless unajua unacho nunua ni vyema kuachana nazo.
Nunua Xiaomi redmi note 10, ina Amoled nayo utapata display nzuri na perfomance pia si haba.
Karibia laki 4 mkuu, around 350k mpaka 400k.Redmi note 10 ni bei gani kaka?
Karibia laki 4 mkuu, around 350k mpaka 400k.
Mkuu Chief napata wapi hiyo simu mpaka Kenya?Karibia laki 4 mkuu, around 350k mpaka 400k.
Mkuu Chief napata wapi hiyo simu mpaka Kenya?
Naipataje mkuu,please nielekeze duka au jinsi ya kuorder
Kwa kenya na iona hapa around 18k ksh ambayo ni around 390,000 tsh.Mkuu Chief napata wapi hiyo simu mpaka Kenya?
Safi inazidi shuka price ya juzi hio mie nilibuy 366k alie kwa punguzo sema nilinunua mbili moja ya mtu na yang ya jamaa 'yake imefika yangu bado naiman wiki hii .Hongkong goldway store bado ako na ofa na pia kenya sio mbali ifike kipnd tunamchangia mtu anaenda kuleta ili ashikwe vizur na TRAKwa kenya na iona hapa around 18k ksh ambayo ni around 390,000 tsh.
![]()
Online shopping marketplace for Electronics & more products in Kenya, East and across Africa
Avechi.com for Electronics and many other products. Avechi is an online shopping marketplace that has dedicated itself to selling a wide variety of in-demand products to its customer base mainly in Kenya but also across other African countries We have a large variety of smartphones and other...avechi.com
Pia kwa China Aliexpress.
Hawa avechi walikuwa wanatuma TZ, waka stop kipindi cha Corona sijui kama wamerudisha huduma.
MI mwenyewe naona ni opportunity, mtu alie Kenya anaweza kuanzisha biashara ya ku post hizi mambo, kuna vitu vingi sana vya Electronic Kenya kwa bei reasonable.Safi inazidi shuka price ya juzi hio mie nilibuy 366k alie kwa punguzo sema nilinunua mbili moja ya mtu na yang ya jamaa 'yake imefika yangu bado naiman wiki hii .Hongkong goldway store bado ako na ofa na pia kenya sio mbali ifike kipnd tunamchangia mtu anaenda kuleta ili ashikwe vizur na TRA