Waleti-pochi ya pesa imejaa kumbe laaaaa

Waleti-pochi ya pesa imejaa kumbe laaaaa

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
yaani hali hii imekuwa kawaida hasa kipindi hiki utakuta vijana pochi imenenepa sasa akifunua hiyo waleti humo kumejaa mikaratasi ,risiti za kuuliza salio ,sijui na vikadikadi ,vitambaa nini ilmradi kurushana roho.lazima kunyooshwa tu ukata huu balaa
 
Waleti inatumika pia kuhifadhia documenti mbalimbali na sio pesa pekee.
 
Back
Top Bottom