mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
Walevi wawili waliokota kioo,
mlevi wa 1 akakiangalia kwa muda mrefu kisha akasema
"hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..!
Mlevi wa pili akamnyang'anya kisha nae akaangalia kioo akasema
"wee kweli huna akili si mimi huyu? halafu unajidai hunikumbuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mlevi wa 1 akakiangalia kwa muda mrefu kisha akasema
"hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..!
Mlevi wa pili akamnyang'anya kisha nae akaangalia kioo akasema
"wee kweli huna akili si mimi huyu? halafu unajidai hunikumbuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]