Mim si mlevi ila nimwahi siti ya mbele nisubir walev waje.Hakuna mtu makini kana sisi walevi wakati wa kuvuka barabara.... kwanza tunaangalia kushoto na kulia kama kuna magari/pikipiki tunaangalia juu kama kunadenge[emoji574][emoji573][emoji573][emoji573] ...kisha tunaaangalia chini kama kuna mabomu yametegwa tunaangalia nyuma kama kunamtu anataka kutukaba tunashikilia Bia vizuri kwa umakini kisha tunavuka barabara kwa zigzag kukwepa risasi......[emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂
Sijaona mnapoachia mdomo wazi mh mjumbe..Tukumaliza kuvuka, kisha tuna jilamba midomo na kisha tunatema mate kushoto alafu tunayafukia hayo mate upande wa kilia, kabla ya kufumba macho na kikata mafundo kadhaa...... ndipo tunaendelea na safari
Ndugu mjumbe, wakati wa kulala sisi walevi ndipo tunaacha mdomo wazi, na data mende/nzi waki ingia kinywani huwa tunawatafuna na kumeza...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sijaona mnapoachia mdomo wazi mh mjumbe..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Ndugu mjumbe, wakati wa kulala sisi walevi ndipo tunaacha mdomo wazi, na data mende/nzi waki ingia kinywani huwa tunawatafuna na kumeza...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenithibitishia pasipo shaka kuwa wewe ni mlevi uliyekubuhu!Tukumaliza kuvuka, kisha tuna jilamba midomo na kisha tunatema mate kushoto alafu tunayafukia hayo mate upande wa kilia, kabla ya kufumba macho na kikata mafundo kadhaa...... ndipo tunaendelea na safari
Imebaki simulizi mkuu, nilisha amua kwa dhati kabisa kupumzika pombeni..[emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenithibitishia pasipo shaka kuwa wewe ni mlevi uliyekubuhu!
Jasiri haachi asili nitakuja Ushirombo unipe mbinu zaidi za kuvuka barabara kubwa kama hizo za ubungo mataa maana ninampango wa kulitembelea jiji kongwe siku si nyingiImebaki simulizi mkuu, nilisha amua kwa dhati kabisa kupumzika pombeni..[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Mnaponifurahisha ni uwezo wenu wa kupanda ngazi kama mnaish gorofani
Askafilullah....[emoji134] [emoji134] [emoji134]Ukilewa sana unaona ardhi iko kiunoni!hapo ndo unahisi unatembea na kiuno
Nnachoshukuru ht nikilewa huwa makini sana!hii ni kulingana na kipindi naanza kulewa najikausha nisishtukiwe hom!yaani hata nilewe vp huwez kunijua nakauka siongei kbsTukumaliza kuvuka, kisha tuna jilamba midomo na kisha tunatema mate kushoto alafu tunayafukia hayo mate upande wa kilia, kabla ya kufumba macho na kikata mafundo kadhaa...... ndipo tunaendelea na safari
Mkuu, wewe tayari umesha haribu sifa yetu walevi.....Nnachoshukuru ht nikilewa huwa makini sana!hii ni kulingana na kipindi naanza kulewa najikausha nisishtukiwe hom!yaani hata nilewe vp huwez kunijua nakauka siongei kbs