Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Mi nisema hichi kinywaji kina siri nzito sana, japo watu wengi hawafahamu. Nitatoa sifa chache za hichi kinywaji
Kwanza kabisa katika eneo ambalo wamekaa wanywa kahawa huwa kahawa inamfanya mtu awe na stimu kati ya hizi 2.
Moja kuongea sana hadi story za uwongo,
Na wapili ni kupenda kusikiliza story yani unakua unapata raha furan kusikiliza story yoyote ambayo mwenzio anakusimulia.
Faida zingine ni kama:
- Inaepusha kisukari,
- Inaepusha shinikizo la damu (presha), ila usitumie bila mashariti endapo tayari una tatizo la presha
- Kuchangamsha viungo, vikae tayari kwa kufanya kazi.
- Pia hii kitu inaepusha na kutibu tatizo la viungo vya mwili kufa ganzi.
Faida zingine zitafuata baadae, mtamalizia watumiaji wenzangu.
Kwanza kabisa katika eneo ambalo wamekaa wanywa kahawa huwa kahawa inamfanya mtu awe na stimu kati ya hizi 2.
Moja kuongea sana hadi story za uwongo,
Na wapili ni kupenda kusikiliza story yani unakua unapata raha furan kusikiliza story yoyote ambayo mwenzio anakusimulia.
Faida zingine ni kama:
- Inaepusha kisukari,
- Inaepusha shinikizo la damu (presha), ila usitumie bila mashariti endapo tayari una tatizo la presha
- Kuchangamsha viungo, vikae tayari kwa kufanya kazi.
- Pia hii kitu inaepusha na kutibu tatizo la viungo vya mwili kufa ganzi.
Faida zingine zitafuata baadae, mtamalizia watumiaji wenzangu.