Walevi wa siku hizi wastaarabu kuliko zamani

Walevi wa siku hizi wastaarabu kuliko zamani

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau,

Aisee naona walevi wa siku hizi wamestaarabika kuliko wa zamani aisee sijui walevi wa zamani walikuwa wanatumia vilevi gani, yaani Siku kama ya leo mtaaani ni vurugu mpaka wazee wanapigana.

Wengine wameangusha magari. Siku hizi hakuna kabisa hayo, sijui pombe za zamani zilikuwa kali sana? Yaani mzee wenu akirudi home bila ngeo zamani ni bahati.
 
Zamani uende mziki kama pale white kibo au safari resort au port access Conner bar au kwetu bar au hunters club pale chai bora now kanisa la gwajima aisee ukirudi salama unashukuru mungu yaaani ugomvi ilikuwa jambo la kawaida
 
Au watu walikuwa wanakunywa gongo nini hahhahhhhh
 
Hela ya kimahagam siku hizi hakuna. This is the truth. Watu wamejifunza nini maana ya budget!
Ile "Lete kama tulivyo" imeisha fifia kabisa. Imebaki machimboni.
Ndio maana bei ya bia ni stable
 
Hali imekua ngumu watu wanakunywa kistaarabu ..
Unaambiwa walevi sasa hivi wanalipa kabisa before wanywe mavitu zao ili kuepusha msala wa vuta-nkuvute na wahudumu baada ya kutumia vya bei ya juu kuliko pesa za kumfuko. JPM zidisha kibano kabisa mara mia mpaka bajeti iwe ya one bottle in 5 years, na yenyewe washindwe kulipia iwe by installment, hadi hii kitu inaitwa pombe ivurugayo mavichwa za watu irudi makwao ilikotokea kama Mr Korona.
 
Unaambiwa walevi sasa hivi wanalipa kabisa before wanywe mavitu zao ili kuepusha msala wa vuta-nkuvute na wahudumu baada ya kutumia vya bei ya juu kuliko pesa za kumfuko. JPM zidisha kibano kabisa mara mia mpaka bajeti iwe ya one bottle in 5 years, na yenyewe washindwe kulipia iwe by installment, hadi hii kitu inaitwa pombe ivurugayo mavichwa za watu irudi makwao ilikotokea kama Mr Korona.
Haha eti wanalipa kabla, kawabana pabaya sana mzee baba 😂😂 ..
 
Walevi wachache siku hizi, watu ni wanywaji tu.
Muda ni mwalimu mzuri, wanajifunza kuheshimu Fedha,gharama za maisha ni kubwa sana.
Sio kwenye pombe tu, vingi tu watu wamepunguza kama vile kuzaa watoto wengi n. k
 
Wadau,

Aisee naona walevi wa siku hizi wamestaarabika kuliko wa zamani aisee sijui walevi wa zamani walikuwa wanatumia vilevi gani, yaani Siku kama ya leo mtaaani ni vurugu mpaka wazee wanapigana.

Wengine wameangusha magari. Siku hizi hakuna kabisa hayo, sijui pombe za zamani zilikuwa kali sana? Yaani mzee wenu akirudi home bila ngeo zamani ni bahati.
Hao ni wa huko kwenu mzee njoo huku ujione wazee wa alkasusu, kitoko, dawa ya tumbo n.k uone mitikasi ilivyo balaa akifika nyumban kwake salam ujue hajalew huyo, kesh tunamwongez dozi kubwa.
 
Zamani kauli zilikua hivi ....nakuumiza pia ntakupeleka hospital kutibiwa[emoji23][emoji23]
 
Now day ...inakuaga iv
IMG-20210101-WA0093.jpg
 
Back
Top Bottom