chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Dunia inaelekea kubaya tena kubaya sana na ukijumlisha utandawazi unaopelekea watoto wa kiume kuwa mashoga asilimia kubwa.
Yani sasa hivi ukiwa na mtoto wa kiume unakuwa naye makini kuliko mtoto wa kike maana kila kona sio salama.
Tufanyeje na kila sehemu wanaanza kuweka bendera zao na serikali imekaa kimya tu kuogopa hawa wafadhili.
Yani sasa hivi ukiwa na mtoto wa kiume unakuwa naye makini kuliko mtoto wa kike maana kila kona sio salama.
Tufanyeje na kila sehemu wanaanza kuweka bendera zao na serikali imekaa kimya tu kuogopa hawa wafadhili.