Elihuruma Lwinga
Member
- Jun 3, 2014
- 63
- 68
ASEC out vipi wakati ana point tisa?Asec memosa wanaiombea USNM washinde, nmeona kwenye ukurasa wao:
If these people win on sunday, then 100% to quarter final, all the best, we fight for Ivory Coast
Na wameweka logo ya wapinzani wetu.
Nanmini Simba hawatakubali kufungwa nyumbani kwenye uwanja waliouzoea, WATANZANIA TUIOMBEE SIMBA ISHINDE ILI ASEC MEMOSA WAONE AIBU, kwa mahesabu ni kua ENDAPO USNM IKASHINDA ITAKUA NA POINT 8, SIMBA 7, ASEC AKIFUNGWA ATABAKI NA 9 MPINZANI WAKE 10. KWA HIYO SIMBA NA MWENZAKE ASEC OUT, IKITOKEA SIMBA AKASHINDA ATAKUA AMESHAPITA MOJA KWA MOJA.
Ni maneno ya tambo tu yaani wameandika kana kwamba wao wana uhakika wa kumfunga Berkane hivyo kazi kwao USGN washinde tu ili watinge robo. Ni maneno ya tambo ila kimpira hata yeye mwenyewe Asec anaweza asifuzuASEC out vipi wakati ana point tisa?
Asec haitajiki kushinda kama simba atafungwa na ndio maana wanawaombeo USGN.Kwahiyo Wao hao Asec Mimosas wameshaongea na Mwenyezi Mungu na kawahakikishia kuwa Wameshashinda mechi yao Ngumu dhidi ya RS Berkane?
Nijuacho Simba na Berkane wanapita!!!
Kwani mmeshaua watu wangapi Hadi mshinde au jini lenu limekubaliana na muda wa mchezo wa saa nne usikuKwahiyo Wao hao Asec Mimosas wameshaongea na Mwenyezi Mungu na kawahakikishia kuwa Wameshashinda mechi yao Ngumu dhidi ya RS Berkane?
Nijuacho Simba na Berkane wanapita!!!
Kwani mechi zimeisha? Unadhani anaweka hayo maombi bure bure tu? Ameshachungulia kituASEC out vipi wakati ana point tisa?
Haha hah we jamaa umetisha snHuyo Asec mwenyewe kwa mkapa alikufa,halafu anataka mwenzake ndo ashinde!!
Yale yale ya Mungu, alishindwa kumuua shetani halafu anatutaka sisi wanadamu tumshinde shetani huku duniani[emoji23]
Hii ya Mungu kushindwa unawatafuta ubaya walevi wa dini.Huyo Asec mwenyewe kwa mkapa alikufa,halafu anataka mwenzake ndo ashinde!!
Yale yale ya Mungu, alishindwa kumuua shetani halafu anatutaka sisi wanadamu tumshinde shetani huku duniani[emoji23]
Wewe Mnaija unateseka tokea pande zipi Mkuu, ondoa mwiko nyuma kwanza akili ikae vizuriSisi tunaomba mfungwe tu.
yeyote anayeshinda ndiyo atafuzu, Asec akipigwa anaondoka na point zake 9ASEC out vipi wakati ana point tisa?
Pole babu tuliua 4Kwani mmeshaua watu wangapi Hadi mshinde au jini lenu limekubaliana na muda wa mchezo wa saa nne usiku
usiku
Kufuru!!!!Huyo Asec mwenyewe kwa mkapa alikufa,halafu anataka mwenzake ndo ashinde!!
Yale yale ya Mungu, alishindwa kumuua shetani halafu anatutaka sisi wanadamu tumshinde shetani huku duniani[emoji23]