Walichoandika Asec Mimosas katika ukurasa wa Instagam juu ya USNM

Walichoandika Asec Mimosas katika ukurasa wa Instagam juu ya USNM

Asec memosa wanaiombea USNM washinde, nmeona kwenye ukurasa wao:

If these people win on sunday, then 100% to quarter final, all the best, we fight for Ivory Coast

Na wameweka logo ya wapinzani wetu.

Nanmini Simba hawatakubali kufungwa nyumbani kwenye uwanja waliouzoea, WATANZANIA TUIOMBEE SIMBA ISHINDE ILI ASEC MEMOSA WAONE AIBU, kwa mahesabu ni kua ENDAPO USNM IKASHINDA ITAKUA NA POINT 8, SIMBA 7, ASEC AKIFUNGWA ATABAKI NA 9 MPINZANI WAKE 10. KWA HIYO SIMBA NA MWENZAKE ASEC OUT, IKITOKEA SIMBA AKASHINDA ATAKUA AMESHAPITA MOJA KWA MOJA.
Naona walijua kuwa watafungwa, ndiyo maana walitaka matokeo ya kufungwa Simba, yawabebe wao!
Uungwana, pamoja na kuiombea USGN ishinde, nao wangejitahidi wawafunge Berkane ili wawabebe hao USGN yao!
 
Pol

Pole babu tuliua 4
Swali hili sikukuuliza wewe hivyo jifunze kujibu ulichoulizwa. Mimi nilimuuliza mwenye Uzi, maana Kuna uzi mwingine alishauanzisha akilalama kuhusu jini lenu kutokukubaliana na suala la muda wa game.
 
Huyo Asec mwenyewe kwa mkapa alikufa,halafu anataka mwenzake ndo ashinde!!

Yale yale ya Mungu, alishindwa kumuua shetani halafu anatutaka sisi wanadamu tumshinde shetani huku duniani😂
Tubu kwa machozi ikibidi ili Mungu akurehemu!! Unajiingiza kwenye hatari ya kumkufuru Mungu na athari yake inatisha! Ila ukitubu Mungu atakusamehe na mpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako!!
 
Asec memosa wanaiombea USNM washinde, nmeona kwenye ukurasa wao:

If these people win on sunday, then 100% to quarter final, all the best, we fight for Ivory Coast

Na wameweka logo ya wapinzani wetu.

Nanmini Simba hawatakubali kufungwa nyumbani kwenye uwanja waliouzoea, WATANZANIA TUIOMBEE SIMBA ISHINDE ILI ASEC MEMOSA WAONE AIBU, kwa mahesabu ni kua ENDAPO USNM IKASHINDA ITAKUA NA POINT 8, SIMBA 7, ASEC AKIFUNGWA ATABAKI NA 9 MPINZANI WAKE 10. KWA HIYO SIMBA NA MWENZAKE ASEC OUT, IKITOKEA SIMBA AKASHINDA ATAKUA AMESHAPITA MOJA KWA MOJA.
Kwenye football
 
Kwahiyo Wao hao Asec Mimosas wameshaongea na Mwenyezi Mungu na kawahakikishia kuwa Wameshashinda mechi yao Ngumu dhidi ya RS Berkane?

Nijuacho Simba na Berkane wanapita!!!
Mkuu anzisha group la whatsapp la kubet..wewe ni mtabiri mzuri sana.
 
Back
Top Bottom