Walichoandika Asec Mimosas katika ukurasa wa Instagam juu ya USNM

Naona walijua kuwa watafungwa, ndiyo maana walitaka matokeo ya kufungwa Simba, yawabebe wao!
Uungwana, pamoja na kuiombea USGN ishinde, nao wangejitahidi wawafunge Berkane ili wawabebe hao USGN yao!
 
Pol

Pole babu tuliua 4
Swali hili sikukuuliza wewe hivyo jifunze kujibu ulichoulizwa. Mimi nilimuuliza mwenye Uzi, maana Kuna uzi mwingine alishauanzisha akilalama kuhusu jini lenu kutokukubaliana na suala la muda wa game.
 
Huyo Asec mwenyewe kwa mkapa alikufa,halafu anataka mwenzake ndo ashinde!!

Yale yale ya Mungu, alishindwa kumuua shetani halafu anatutaka sisi wanadamu tumshinde shetani huku duniani😂
Tubu kwa machozi ikibidi ili Mungu akurehemu!! Unajiingiza kwenye hatari ya kumkufuru Mungu na athari yake inatisha! Ila ukitubu Mungu atakusamehe na mpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako!!
 
Kwenye football
 
Kwahiyo Wao hao Asec Mimosas wameshaongea na Mwenyezi Mungu na kawahakikishia kuwa Wameshashinda mechi yao Ngumu dhidi ya RS Berkane?

Nijuacho Simba na Berkane wanapita!!!
Mkuu anzisha group la whatsapp la kubet..wewe ni mtabiri mzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…