Walichofanyiwa Biashara UTD sio fair kabisa. Bodi ya Ligi iangalie utaratibu wa Play-Off

Walichofanyiwa Biashara UTD sio fair kabisa. Bodi ya Ligi iangalie utaratibu wa Play-Off

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Kwakweli huu utaratibu wa play off za Ligi kuu unawaumiza sana vilabu vya Ligi daraja la kwanza, Biashara utd wamepambana sana play off ya kwanza dhidi ya Mbeya Kwanza wakafanikiwa kuvuka, Kwa upande wa pili Tabora utd tayari ilishachapwa na JKT ndani nje, Sasa kwanini Biashara ameshapambana amevuka lakini bado anawekewa kikwazo kingine kwa aliyestahili kushuka baada ya kuchapwa na JKT?

download (9).jpeg
Pia soma: FT: Tabora United 2-0 Biashara United mchezo wa mtoano mkondo wa2( Agg, 2-1) Tabora wasalia ligi kuu kwa msimu ujao
 
Mwakani waje wacheze kituo kimoja tu ugenini mecho mpja tu.....
 
Ni kitu Cha ajabu na hovyoo Sana.... Hivi unawezaje kukutanisha timu zenye madaraja mawili tofauti kugombea nafasi ya kupanda ligi kuu!!, utaratibu ulipaswa kuwa timu za championship zikutane zenyewe atakaeshinda apande moja kwa moja, na timu za ligi kuu zinazogombea nafasi ya kubaki ligi kuu zimalizane zenyewe... Huu ndio utaratibu sahihi.
 
Msimu ujao timu ili kupata kiwango kizuri cha soka , timu zicheze uwanja tofauti("neutral") ili kuwa na mazingira sawa ya ushindani na kupunguza mihemuko ya washabiki wenye mihemuko na hisia zisizodhibitiwa.
 
Hizi kanuni zili kuwepo kuanzia mwanzo wa ligi, kwanini watu mnalaumu sasa hivi kwanini hamku sema kuanzia mwanzo kwani ni mara ya kwanza ya playoff kuchezwa kwa mfumo huu? Mwaka wa tatu huu kisa biashara katolewa ndo mnapaza sauti.
 
Kwakweli huu utaratibu wa play off za Ligi kuu unawaumiza sana vilabu vya Ligi daraja la kwanza, Biashara utd wamepambana sana play off ya kwanza dhidi ya Mbeya Kwanza wakafanikiwa kuvuka, Kwa upande wa pili Tabora utd tayari ilishachapwa na JKT ndani nje, Sasa kwanini Biashara ameshapambana amevuka lakini bado anawekewa kikwazo kingine kwa aliyestahili kushuka baada ya kuchapwa na JKT?

Pia soma: FT: Tabora United 2-0 Biashara United mchezo wa mtoano mkondo wa2( Agg, 2-1) Tabora wasalia ligi kuu kwa msimu ujao
Mjitahidi kufuatilia michezo duniani sio kusukumwa na ushabiki!
 
Kwakweli huu utaratibu wa play off za Ligi kuu unawaumiza sana vilabu vya Ligi daraja la kwanza, Biashara utd wamepambana sana play off ya kwanza dhidi ya Mbeya Kwanza wakafanikiwa kuvuka, Kwa upande wa pili Tabora utd tayari ilishachapwa na JKT ndani nje, Sasa kwanini Biashara ameshapambana amevuka lakini bado anawekewa kikwazo kingine kwa aliyestahili kushuka baada ya kuchapwa na JKT?

Pia soma: FT: Tabora United 2-0 Biashara United mchezo wa mtoano mkondo wa2( Agg, 2-1) Tabora wasalia ligi kuu kwa msimu ujao
Kwanini imekuwa hivyo !?
 
Kwakweli huu utaratibu wa play off za Ligi kuu unawaumiza sana vilabu vya Ligi daraja la kwanza, Biashara utd wamepambana sana play off ya kwanza dhidi ya Mbeya Kwanza wakafanikiwa kuvuka, Kwa upande wa pili Tabora utd tayari ilishachapwa na JKT ndani nje, Sasa kwanini Biashara ameshapambana amevuka lakini bado anawekewa kikwazo kingine kwa aliyestahili kushuka baada ya kuchapwa na JKT?

Pia soma: FT: Tabora United 2-0 Biashara United mchezo wa mtoano mkondo wa2( Agg, 2-1) Tabora wasalia ligi kuu kwa msimu ujao
Binafsi naona huu utaratibu ni mzuri tu. Maana unaleta ushindani. Biashara aliifunga Mbeya Kwanza, na Tabora alifungwa na JKT! Mechi ya kwanza Biashara alishinda nyumbani, na hivyo alihitaji sare au goli moja tu kwenye mechi ya jana! Bahati mbaya bahati haikuwa upande wake.

Tusisahau pia msimu uliopita Mashujaa ya Kigoma walipanda ligi kuu kwa mfumo huu huu na hivyo kuwashusha Mbeya City! Ihefu nayo ilipanda ligi kuu kwa kuishusha Mbao Fc kama sijakosea!! Huu utaratibu unasaidia kwenye kuleta ushindani, na pia kuvumbua vipaji vipya.
 
Biashara united wamefanyiwa figisu sana kwanza kabisa walipofika huko wamekutana na kipigo kikali ndani ya gari lao. Inahuzunisha sana
Kule Mara kuna watu kama sita viongozi wa Tabora walikula mbata / vibao vya kutosha hadi wakapata kizunguzungu ..
Hili swala hawakuripoti Tabora wakapiga kimya ...
Hili tukio ni la kulipiza kisasi
 
Kule Mara kuna watu kama sita viongozi wa Tabora walikula mbata / vibao vya kutosha hadi wakapata kizunguzungu ..
Hili swala hawakuripoti Tabora wakapiga kimya ...
Hili tukio ni la kulipiza kisasi
Tabora aka Mboka utaiweza kwa uhuni, wale ndo zao toka enzi.
 
Back
Top Bottom