Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hee jamani...Biashara united wamefanyiwa figisu sana kwanza kabisa walipofika huko wamekutana na kipigo kikali ndani ya gari lao. Inahuzunisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee jamani...Biashara united wamefanyiwa figisu sana kwanza kabisa walipofika huko wamekutana na kipigo kikali ndani ya gari lao. Inahuzunisha sana
Una hoja leo usikilizwe...Ni kitu Cha ajabu na hovyoo Sana.... Hivi unawezaje kukutanisha timu zenye madaraja mawili tofauti kugombea nafasi ya kupanda ligi kuu!!, utaratibu ulipaswa kuwa timu za championship zikutane zenyewe atakaeshinda apande moja kwa moja, na timu za ligi kuu zinazogombea nafasi ya kubaki ligi kuu zimalizane zenyewe... Huu ndio utaratibu sahihi.
Ni huzuniHee jamani...
Hebu tuone sheria zitakazochukuliwa...kwanza wangevuliwa huo ushindi wapewe Tabora...Ni huzuni
Tabora na wao wanadai walivyofika Musoma walikutana na makofi kwa baadhi ya viongozi wao.Hebu tuone sheria zitakazochukuliwa...kwanza wangevuliwa huo ushindi wapewe Tabora...