Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Chief hebu fanya hima uweke hicho kifungu kinachohusu huo utaratibu ili tuendelee na huu mjadala.Kwa hiyo wewe hoja yako hapo ni kwamba unajua hakuna utaratibu unaozuia majaji kuwekwa picha zao kwenye gazeti au unajua upo ila unaona si vyema kuwa na utaratibu kama huo kwa kuwa nao ni binadamu kama wengine? Tuanzie hapo