phytohaemoglutinin
Member
- Oct 17, 2014
- 31
- 14
ni kweli yapo chuoni na wengine tumeshasaini
continuous??!
Mbona majina ya continuous hayajatoka kabisa so wewe hizo taarifa za kukosa umezipata wap?maaana mpaka now watu wa continuous bado hawajashughulikiwa kabisa
nakataa tena nakataa kwa HERUFI KUBWA HAYAJATOKA BADO
hahaha poleee ukiona hivyo ujue you are not secured..................................
hayajabandikwa but yapo kwa loan officer,me mwenyewe nimejulia huko
yeye ni chuo gani???tatizo unabisha kitu usichokielewa ni hiv huyo jamaa ni continuing na alikuwa hana mkopo so ameapply mwaka huu! matokeo hayajatoka bado mpaka novemba kama unabisha endelea kubisha ila uhalisia ndo huo!
Sory mstaarabu wa ukwee, ww pia unasoma ud?
Ok sory loan officer kasema mwisho wa kuangalia hayo majina ni lin?Soryndio nasoma pale
we jamaa mbishi kweli!! unapohabarishwa elewa!!!
Ok sory loan officer kasema mwisho wa kuangalia hayo majina ni lin?Sory
Ok pole thankx 4 reply.sorry for late repply,hata sijajua coz alivyo nijibu tu kuwa nimekosa nikaishiwa pozi na kuondoka