phytohaemoglutinin
Member
- Oct 17, 2014
- 31
- 14
ni kweli yapo chuoni na wengine tumeshasaini
siyo kweli unadanganya umma, kiukweli kwa continuing walioomba mkopo matokeo yanatoka novemba kuanzia tareh 15 na kuendelea! Kwa sababu yanashughulikiwa baada ya hawa wengine,hayo unayosema ni yale wale continuing waliyokuwa wanapata mkopo