Walichonifanyia Loan board duh!

Walichonifanyia Loan board duh!

Mstaarabu wa ukwee

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2013
Posts
209
Reaction score
137
Siamini kama kwa mara nyingine nimekosa mkopo,kwani wakati nipo first year niliomba wakaninyima,nika appeal wakaninyima,nimeomba tena now holaaa,daah.
Sifa ninazo ila kila nikiomba wananambia budget haitoshii.
Wanacho nshangaza ni kitu kimoja kwa nini watoe chance za kuomba kwa wengi halafu nusu ya waombaji wote wakose??!!??
Nimegundua kuwa haka ni kamradi ka serikali kwani nimepiga hesabu wote tulio kosa mkopo
28,000*30,000=840,000,000 sasa hapo si mikopo ya chuo kimoja hiyo??!?!!
HAWAKO FAIR...wanachotakiwa watengeneze vigezo ambavyo havita fanya wengi waombe mkopo,mfano:kama ulisoma private o-level au advance,usijisumbue kuomba kwa zile non-priority..
KIUJUMLA HAKA KAMCHEZO NI KAKITEGA UCHUMI CHA KASERIKALI
 
Siamini kama kwa mara nyingine nimekosa mkopo,kwani wakati nipo first year niliomba wakaninyima,nika appeal wakaninyima,nimeomba tena now holaaa,daah.
Sifa ninazo ila kila nikiomba wananambia budget haitoshii.
Wanacho nshangaza ni kitu kimoja kwa nini watoe chance za kuomba kwa wengi halafu nusu ya waombaji wote wakose??!!??
Nimegundua kuwa haka ni kamradi ka serikali kwani nimepiga hesabu wote tulio kosa mkopo
28,000*30,000=840,000,000 sasa hapo si mikopo ya chuo kimoja hiyo??!?!!
HAWAKO FAIR...wanachotakiwa watengeneze vigezo ambavyo havita fanya wengi waombe mkopo,mfano:kama ulisoma private o-level au advance,usijisumbue kuomba kwa zile non-priority..
KIUJUMLA HAKA KAMCHEZO NI KAKITEGA UCHUMI CHA KASERIKALI

kwan kwa continuous tayar yashatoka?
 
Mbona majina ya continuous hayajatoka kabisa so wewe hizo taarifa za kukosa umezipata wap?maaana mpaka now watu wa continuous bado hawajashughulikiwa kabisa
 
siamini kama kwa mara nyingine nimekosa mkopo,kwani wakati nipo first year niliomba wakaninyima,nika appeal wakaninyima,nimeomba tena now holaaa,daah.
Sifa ninazo ila kila nikiomba wananambia budget haitoshii.
Wanacho nshangaza ni kitu kimoja kwa nini watoe chance za kuomba kwa wengi halafu nusu ya waombaji wote wakose??!!??
Nimegundua kuwa haka ni kamradi ka serikali kwani nimepiga hesabu wote tulio kosa mkopo
28,000*30,000=840,000,000 sasa hapo si mikopo ya chuo kimoja hiyo??!?!!
Hawako fair...wanachotakiwa watengeneze vigezo ambavyo havita fanya wengi waombe mkopo,mfano:kama ulisoma private o-level au advance,usijisumbue kuomba kwa zile non-priority..
Kiujumla haka kamchezo ni kakitega uchumi cha kaserikali

ni kwamba kwa continuing walioomba mwaka huu matokeo bado sikilizia mwezi wa kumi na moja
 
Mbona majina ya continuous hayajatoka kabisa so wewe hizo taarifa za kukosa umezipata wap?maaana mpaka now watu wa continuous bado hawajashughulikiwa kabisa
St. john Continuous yaliwekwa mida. Watu washasain.
 
Nakuunga mkono. Hii ni biashara kama ilivyo kwa shule private pendwa kuuza fomu wakati wanaotakiwa ni wachache. Hii ndio tz bwana.
Siamini kama kwa mara nyingine nimekosa mkopo,kwani wakati nipo first year niliomba wakaninyima,nika appeal wakaninyima,nimeomba tena now holaaa,daah.
Sifa ninazo ila kila nikiomba wananambia budget haitoshii.
Wanacho nshangaza ni kitu kimoja kwa nini watoe chance za kuomba kwa wengi halafu nusu ya waombaji wote wakose??!!??
Nimegundua kuwa haka ni kamradi ka serikali kwani nimepiga hesabu wote tulio kosa mkopo
28,000*30,000=840,000,000 sasa hapo si mikopo ya chuo kimoja hiyo??!?!!
HAWAKO FAIR...wanachotakiwa watengeneze vigezo ambavyo havita fanya wengi waombe mkopo,mfano:kama ulisoma private o-level au advance,usijisumbue kuomba kwa zile non-priority..
KIUJUMLA HAKA KAMCHEZO NI KAKITEGA UCHUMI CHA KASERIKALI
 
Acha ubishi majina yapo vyuoni labda chako ndio bado,,,,

yawezekana watu tukawa hatuelewani hapa, 2naposema continuing applicants 2namaanisha wale waliokosa mwaka jana, ambao mwaka huu wameomba tena na sio wale ambao wamefanikiwa kupata mwaka jana, ambao bado wananufaika na mikopo hiyo.
 
ni kwamba kwa continous walioomba mwaka huu matokeo bado sikilizia mwezi wa kumi na moja
Kama majina bado hayajatoka,sasa lecture zinaendela au?i mean wanafuzi wanasoma bila boom na ada mpaka majina yatoke,bora vyuo viwe vinafunguliwa november
 
Siamini kama kwa mara nyingine nimekosa mkopo,kwani wakati nipo first year niliomba wakaninyima,nika appeal wakaninyima,nimeomba tena now holaaa,daah.
Sifa ninazo ila kila nikiomba wananambia budget haitoshii.
Wanacho nshangaza ni kitu kimoja kwa nini watoe chance za kuomba kwa wengi halafu nusu ya waombaji wote wakose??!!??
Nimegundua kuwa haka ni kamradi ka serikali kwani nimepiga hesabu wote tulio kosa mkopo
28,000*30,000=840,000,000 sasa hapo si mikopo ya chuo kimoja hiyo??!?!!
HAWAKO FAIR...wanachotakiwa watengeneze vigezo ambavyo havita fanya wengi waombe mkopo,mfano:kama ulisoma private o-level au advance,usijisumbue kuomba kwa zile non-priority..
KIUJUMLA HAKA KAMCHEZO NI KAKITEGA UCHUMI CHA KASERIKALI

Mdogo wangu kwanza pole sana, I real feel maumivu yako sema sina jinsi tu ya kusaidia.
Nilishawahi ongea humu Jf kuwa mfumo mzima wa bodi ya mikopo haupo open kwa waombaji. Binafsi sioni sababu ya chombo kama kile kuwa hivyo.
Naamini kuna mambo wakiyafanya watajiepusha na lawama. Ila kama ulivyochambua it seems kwa sasa bodi wapo kwa maslahi fulani fulani na ndio wanaopata wengi hiyo mikopo na wasiokuwa na sifa na wachache wenye sifa. ama wanaokosa wengi wao ndio wenye sifa.
 
Back
Top Bottom