bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
M/kiti anajidanganya asubiri kura za Wajumbe walio hongwa sisi wananchi hatujapewa kitu akumbuke hiloUmesahau kuwa m/kiti wako alizuia shughuli zote za vyama vya siasa kasoro CCM? Acha kudhani Watanzania wote ni wajinga, CCM ni sawa na shetani
Ki halali itakuwa ni vice versaUwezekano wa Chadema kukosa viti vyote vya ubunge ni mkubwa sana.
Mzee Strikes again! Nakumbka enzi hizo za Mzee Punch UDSM -Mlimani. Mzee warns of tampering with Mzee's publication on the sacred wall!Lissu strikes again,
Maneno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.Umewasikia lakini
Wanasema kama wakishinda mkrugenzi afanye tofauti basi ama zake ama zao. This time anasema wazi wazi hawatokubali dhulma ya aina yoyote.
Wakurugenzi huu mzikia wenu. Majamaa ndio hao
ameturudishia imani ya kupiga kura again tulishakata tamaaHaki ya Mungu sipendi siasa za bongo ila lissu ananifikirisha sana, he is something else.
Hakujua kama miaka mitano sio mingi mbele za Mungu. Haamini kama ana tudi tena kutuaminisha kwa push up..lee van cliff,
Hotuba yake leo imeonesha jinsi alivyokuwa mnyonge kana kwamba ndiyo kwanza anagombea urais. Yaani unaweza kudhani JPM ni mwenyekiti wa TADEA. Hana confidence kabisa.
Mahubiri na mihadhara juu ya hayo inaanza upaya.
Wekeni fair groundAlways never underestimate your enemy(opponent). Kuna dogo alimpiga mtama baunsa wa msanii flani maarufu kule Tandale, mbavu alilamba mchanga sababu ya dharau zake kwa dogo hakujiandaa.
Acacia imepotea kwenye ramani ya dhahabu za Bongo sababu waliwadharau watanzania na uwezo wao kukusanya taarifa za kiintelijensia.
CHADEMA inapata taabu kwenye uchaguzi huu sababu walimdharau Magufuli hajui siasa, walimdharau Polepole na wenzie hawakudhania wanaweza siasa na fitina za kisiasa kiwango hiki.
yeah, man. Lissu is our MAN.Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Tuko kwenye vituo vya afya, shule, Umeme cha REA
Maneno mazito Sana haya,Hizo "fitina za kisiasa" ni uhuni tu. Ni ukiukwaji wa sheria na katiba unaofanywa na vyama vilivyoshindwa kufanya siasa katika uwazi na ushindani unaopaswa.
AWAKUJUA LISU ATARUDI HAI,Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Hawa awatamsahau jiwe milele wanamlaani sana amewaharibia future yao,tunapowaambiwa jiwe ni msanii huwa hawaelewi.Waendelee kuunga juhudi haina ukomo kuungaHapana Mkuu watu walikua wanaunga mkono juhudi kwa makumi,Tena VIONGOZi wenye majina .
Kafulila, Mtatiro, Arfi, Nasari, Selasini, Komu, Gekul, Lijuakali, Silinde, Lowassa, Sumaye, n.k
Kwenye udiwani huko ndo usiseme.
lisu anatafuta mke wa pili wahi nafasi ukaolewe nae,Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
yameshindwa kuwaondolea njaa watu
Siasa za mabavu za kutumia vyombo vya dola kuhujumu upinzani hizo ndio unazosema Chadema walidharau?CHADEMA inapata taabu kwenye uchaguzi huu sababu walimdharau Magufuli hajui siasa, walimdharau Polepole na wenzie hawakudhania wanaweza siasa na fitina za kisiasa kiwango hiki.