Uchaguzi 2020 Walidhani wameiua CHADEMA, sasa kampeni ya "Kitanda kwa Kitanda" ya nini?

Uchaguzi 2020 Walidhani wameiua CHADEMA, sasa kampeni ya "Kitanda kwa Kitanda" ya nini?

Umewasikia lakini

Wanasema kama wakishinda mkrugenzi afanye tofauti basi ama zake ama zao. This time anasema wazi wazi hawatokubali dhulma ya aina yoyote.

Wakurugenzi huu mzikia wenu. Majamaa ndio hao
Maneno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.

Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.
 
Always never underestimate your enemy(opponent). Kuna dogo alimpiga mtama baunsa wa msanii flani maarufu kule Tandale, mbavu alilamba mchanga sababu ya dharau zake kwa dogo hakujiandaa.

Hii yaweza kuwa onyo kwa yeyote kati ya pande hizo mbili.
 
kwa kupaniki huku kitanda cha mwenyekiti wa NEC watakihamishia lumumba
 
Rais wetu na Mwenyekiti wetu mpendwa usiwe na wasiwasi huku mtaani upinzani hakuna, tena huna haja ya kufanya kampeni wewe pumzika tu watanzania kazi yako wanaikubali na kura watakupigia.
 
Always never underestimate your enemy(opponent). Kuna dogo alimpiga mtama baunsa wa msanii flani maarufu kule Tandale, mbavu alilamba mchanga sababu ya dharau zake kwa dogo hakujiandaa.

Acacia imepotea kwenye ramani ya dhahabu za Bongo sababu waliwadharau watanzania na uwezo wao kukusanya taarifa za kiintelijensia.

CHADEMA inapata taabu kwenye uchaguzi huu sababu walimdharau Magufuli hajui siasa, walimdharau Polepole na wenzie hawakudhania wanaweza siasa na fitina za kisiasa kiwango hiki.
Wekeni fair ground
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
yeah, man. Lissu is our MAN.
let's enjoy this moment while we can.
let's enjoy the ride!
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
AWAKUJUA LISU ATARUDI HAI,
 
Hapana Mkuu watu walikua wanaunga mkono juhudi kwa makumi,Tena VIONGOZi wenye majina .
Kafulila, Mtatiro, Arfi, Nasari, Selasini, Komu, Gekul, Lijuakali, Silinde, Lowassa, Sumaye, n.k

Kwenye udiwani huko ndo usiseme.
Hawa awatamsahau jiwe milele wanamlaani sana amewaharibia future yao,tunapowaambiwa jiwe ni msanii huwa hawaelewi.Waendelee kuunga juhudi haina ukomo kuunga
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
lisu anatafuta mke wa pili wahi nafasi ukaolewe nae,
 
CHADEMA inapata taabu kwenye uchaguzi huu sababu walimdharau Magufuli hajui siasa, walimdharau Polepole na wenzie hawakudhania wanaweza siasa na fitina za kisiasa kiwango hiki.
Siasa za mabavu za kutumia vyombo vya dola kuhujumu upinzani hizo ndio unazosema Chadema walidharau?
 
Back
Top Bottom