Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
lee van cliff,
Kuna neno Mbowe alipenda kulitumia kila apatapo nafasi ya kuongea na lilipuuzwa nalo ni " sisi wapinzani hasa chadema tumeimarika kuliko wakati wowote ule" hili neno halikuaminiwa hata na baadhi ya wanaChadema wenyewe na kupelekea baadhi ya viongozi kuunga juhudi.
Sasa ndiyo watu wanaanza kuuona uimara wa upinzani, na matokeo yake ndiyo hizo kampeni za kitanda kwa kitanda. Sasa hivi zile kauli za ushindi wa 100% hazipo tena.
Hilo halipo la wakuregenzi kuchezea huu uchaguzi ni mgumu kuliko pia unafatiliwa kwa karibu sana na jumuiya za kimatifa pia bingwa wao wa wizi na fitina Mungu kampenda zaidi angalau yey aliweza tumia nguvu na akili kusolve magumu tofauti na hawa wao utumia nguvu zaidi kuliko akili so chochote chawezatokea, hata upinzani wasiposhinda watakuwa na wabunge wengi sana tena upcoming underground.
Maneno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.
Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.
ubarikiwe wewe uliyepata mumeSawa,Asante,ubarikiwe.
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Tatizo la ufipa bado mnanukia maziwa ya mama zetu! Hivi hamkumbuki juzi tu enzi za Nyerere na Mwinyi tena chama kimoja uchaguzi ukiwa ndio na hapana, kampeni zilipigwa! Tena zikiongozwa na baba wa taifa mwenyewe mwl Nyerere. Hii ya kitanda kwa kitanda ni kuhakikisha mnakosa uraisi, ubunge hadi madiwani! Walahi mkipata asilimia 10 mkatambikie.Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
jifariji mtandaon km wasanii wa bongo waliotia nia,wajumbe ambao wapo kitandani, wametulia tuli na vichinjio vyao, jiandaeni kisaikolojia ,mwaka huu hata mbunge 1 hampati,lee van cliff,
Hotuba yake leo imeonesha jinsi alivyokuwa mnyonge kana kwamba ndiyo kwanza anagombea urais. Yaani unaweza kudhani JPM ni mwenyekiti wa TADEA. Hana confidence kabisa.
Enzi za back to the Hill ......Mzee Strikes again! Nakumbka enzi hizo za Mzee Punch UDSM -Mlimani. Mzee warns of tampering with Mzee's publication on the sacred wall!
Temper na CDM uone makali yake! "Mzee" jiwe ameshang'amua!
Ndoto ni haki yakoUwezekano wa Chadema kukosa viti vyote vya ubunge ni mkubwa sana.
Kama bado hujabarikiwa kupata mume, njoo kwangu hapa nikufanye mke halali.ubarikiwe wewe uliyepata mume
usizunguke sana kusema wewe ni punga unanitaka kwa lazma..poleKama bado hujabarikiwa kupata mume, njoo kwangu hapa nikufanye mke halali.
Mwandiko wako ni wa ke plus avatar.usizunguke sana kusema wewe ni punga unanitaka kwa lazma..pole
Hakuna alichofanya 5 yearsNilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Chama cha siasa ni kuongoza serikali. CCM inalijua hilo. Hivyo, CCM kama chama kikongwe cha siasa barani Afrika kinajua maana ya kampeni na maana ya uchaguzi. Hakiwezi kuleta mzaha mzaha na ndio maana kipo madarakani na kitaendelea kuwepo madarakani jana, leo na kesho.Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.