Uchaguzi 2020 Walidhani wameiua CHADEMA, sasa kampeni ya "Kitanda kwa Kitanda" ya nini?

Uchaguzi 2020 Walidhani wameiua CHADEMA, sasa kampeni ya "Kitanda kwa Kitanda" ya nini?

lee van cliff,

Kuna neno Mbowe alipenda kulitumia kila apatapo nafasi ya kuongea na lilipuuzwa nalo ni " sisi wapinzani hasa chadema tumeimarika kuliko wakati wowote ule" hili neno halikuaminiwa hata na baadhi ya wanaChadema wenyewe na kupelekea baadhi ya viongozi kuunga juhudi.

Sasa ndiyo watu wanaanza kuuona uimara wa upinzani, na matokeo yake ndiyo hizo kampeni za kitanda kwa kitanda. Sasa hivi zile kauli za ushindi wa 100% hazipo tena.


Acha nkuongezee neno lingine kesho ni nzuri kuliko jana
 
Hilo halipo la wakuregenzi kuchezea huu uchaguzi ni mgumu kuliko pia unafatiliwa kwa karibu sana na jumuiya za kimatifa pia bingwa wao wa wizi na fitina Mungu kampenda zaidi angalau yey aliweza tumia nguvu na akili kusolve magumu tofauti na hawa wao utumia nguvu zaidi kuliko akili so chochote chawezatokea, hata upinzani wasiposhinda watakuwa na wabunge wengi sana tena upcoming underground.


Na kikubwa zaidi ya kumpenda zaidi wale ma master Kinana, Nape, January wanapata wapi nguvu za kupanda na kumaster huu uchaguzi? wote wako pembeni wanamwangalia kwa jicho ngoja tuone utafanya nini?
 
Maneno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.

Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.


Ningekubaliana na ww lakini unajua kitu kinaitwa CHADEMA ni msingi?
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
hqdefault-1.jpg
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Tatizo la ufipa bado mnanukia maziwa ya mama zetu! Hivi hamkumbuki juzi tu enzi za Nyerere na Mwinyi tena chama kimoja uchaguzi ukiwa ndio na hapana, kampeni zilipigwa! Tena zikiongozwa na baba wa taifa mwenyewe mwl Nyerere. Hii ya kitanda kwa kitanda ni kuhakikisha mnakosa uraisi, ubunge hadi madiwani! Walahi mkipata asilimia 10 mkatambikie.
 
lee van cliff,

Hotuba yake leo imeonesha jinsi alivyokuwa mnyonge kana kwamba ndiyo kwanza anagombea urais. Yaani unaweza kudhani JPM ni mwenyekiti wa TADEA. Hana confidence kabisa.
jifariji mtandaon km wasanii wa bongo waliotia nia,wajumbe ambao wapo kitandani, wametulia tuli na vichinjio vyao, jiandaeni kisaikolojia ,mwaka huu hata mbunge 1 hampati,
 
Kwa asili ya mwanadamu, hapendi kunyanyaswa.

Rais Magufuli utawala wake, kwa asili yake umewatesa na kuwanyanyasa sana wananchi walio wengi. Watu wamenyanyaswa na kuonewa kuanzia ngazi ya Taifa mpaka kwenye Serikali za mitaa. Kuanzia yeye mwenyewe, mawaziri wake, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na watendaji wa vijiji na kata, wengi wao wamekuwa katili na wasio na utu.

Wamekuwa wakitafuta umaarufu na sifa kwa kuwaumiza watu wasio na kosa.

Rais mwenyewe aliwahi kutamka , 'katika utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote'. Na kweli aliisimamia hiyo kauli yake. Wapo matajiri walibambikiwa kesi za uhujumu uchumi, wapo waliotekwa, wapo waliowekwa Segerea ili tu waridhie hela zao walizochuma kwa jasho lao, kuporwa. Huo ndio ulikuwa utawala wa Rais Magufuli. Ulikuwa ni utawala wa mkono wa chuma. Utawala huu kwa miaka 5 umefanya kampeni ya kuchukiwa.

Na asifanye mchezo, atakuwa na wakati mgumu sana. Uchaguzi huu utakuwa mgumu kwa CCM kuliko uchaguzi wowote uliopita. CCM itakuwa na kazi ngumu sana kuitetea Serikali ambayo kwa miaka 5 imefanya kazi kubwa ya kutesa wananchi.

Huwezi kuua upinzani kwa kutesa na kutumia nguvu. Ukifanya tu hivyo, unaujenga upinzani. Rais Maguguli ametengeneza upinzani wenye nguvu nje na ndani ya chama chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Hakuna alichofanya 5 years
 
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.

Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.

Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.

Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".

Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."

Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.

Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?

Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.

Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.

Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Chama cha siasa ni kuongoza serikali. CCM inalijua hilo. Hivyo, CCM kama chama kikongwe cha siasa barani Afrika kinajua maana ya kampeni na maana ya uchaguzi. Hakiwezi kuleta mzaha mzaha na ndio maana kipo madarakani na kitaendelea kuwepo madarakani jana, leo na kesho.
 
Hao wasiojulikana kama hawataendelea kujulikana bora CCM ipigwe chini. La sivyo jua unauweka usalama wako rehani
 
Back
Top Bottom