Walijitoa uchaguzi wa serikali za mitaa Kuishtakiwa?

Walijitoa uchaguzi wa serikali za mitaa Kuishtakiwa?

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,768
Reaction score
4,038
Tangia mwanzoni kulikuwepo na sintofahamu kwa wagombea wa upinzani kutotendewa haki. Jambo hili lilijitokeza pia kwenye kura za maoni ndani ya ccm ambapo uongozi wa juu ulimweka mtu waliomtaka na si yule aliyependekezwa na wananchi/wapiga kura wake.

Kitendo hicho kilifanya zoezi la kujiandikisha kusua sua hadi siku zikaongezwa.
Wakati wa kurudisha fomu mchezo ukaendelea kwa kutopokelewa fomu za wagombea wa vyama pinzani. Taarifa zilitolewa kwa uongozi usika - TAMSEMI lakini majibu yakawa ovyo.

Wapinzani leo wamejitoa, CCM na TAMISEMI wanaweweseka na kulazimisha wagombea ambao walikuwa hawahitajiki, sasa wanalazimishwa kushiriki kwenye chaguzi.

Hivi kuna kifungu chochote cha kuwatia hatiani wagombe wote waliojitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?
 
Jeez mwajibisha Mtu pasipo na makosa na pia Mtu kujitoa katika chaguz kumesababishwa na walewa madaraka...
 
Ata kama kifungu hakuna hao wanapaswa kutiwa ndani
Wewe unaonekana ni walewale!
Hv kwa akili yako nani mhusika mkuu aliyevuruga Uchaguzi wa SM kama sio CCM na Serikali yake?
Nani anastahili kutiwa ndani hapa?
 
Wewe unaonekana ni walewale!
Hv kwa akili yako nani mhusika mkuu aliyevuruga Uchaguzi wa SM kama sio CCM na Serikali yake?
Nani anastahili kutiwa ndani hapa?
Unasumbuka na mtu hata kuandika kwa kiswahili ni tatizo!!!
 
Back
Top Bottom