Wanajamvi namshukuru Mungu wangu aliyehai ninayemuabudu kwa kuninusuru na utapeli uliokuwa ukisukwa juu yangu.
Hatari sana,ni kitu ya mchana huu.Kanipigia mtu kupokea kanisalimia kwa kunichangamkia sanaaaa,mpaka nikaona hii sasa noma kumuuliza nani sijui atajisikiaje.Nikamvutia kasi baada ya salamu za utangulizi nikamwambia hapa kwetu tunashukuru neema ya mvua imekuja vipi huko?
Huku sisi bado,sawa samahani naomba usijisikie vibaya nani naongea naye aaaah inamaana umepoteza namba yangu?Nikapigwa swali,jibu umepatia ndo maana nakuuliza Mi j4 ahaa shemu,ndiyo za ---?Nzuri lakini siko hapo kwa sasa niko Arusha nimepata kibarua hapa AICC mi ni dereva.
Ok hongera,nashukuru akajibu.
Sasa shemu hapa nilipo kunaboss wangu kanipa tender ye anafanyia UN.Kuna watu kutoka Sudan ya kusini huwa wananunua dawa za Kuhifadhia nafaka.
Huwa wanafanya na mdogoake huyu boss wangu ninayemuendesha ila kwa sasa yupo uganda masomoni,na hawa wageni wameshafika ila wanahitaji mtu wa kusupply hizo dawa. Gidion Lima alikuwa ndo anafanya hii kazi sasa niliulizwa na Boss kama nina mtu mwaminifu ninayemfahamu nikaona utanifaa na hauta niangusha.
Uko sasahihi,kwahiyo nini unachotaka nikifanye kwa kuvaa viatu vya Gidion aliyeko masomoni?
Kuna namba za agent wa UN yuko hapo mkoa wa.....ndo huwa anauza hizi dawa.We mpigie mueleze ni mdogo ake Gidion,then muulize kama dawa zipo,bei ya dawa kwa pair inakwendaje kwa sasa,na kama zipo tunaweza pata pair mia tatu leo(300)?
Halafu nipe jibu niulize mkalimani wa wale wageni wananunua kwa kiasi gani ili kuona kama kutakuwa na faida tufanye nao kazi.Poa Nashukuru utaratibu wa kusajili namba,nikahitaji kufahamu jina la J4 nikakuta ni Benjamini Willium no.0769721953 (shemeji bandia).
Nikaona ngoja niende kwa agent J4 aliniambia anaitwa Mzee Dickson lkn jina alilosajili ni Yohana Paulo no. 0754695542 nikampigia simu ikaita mpaka ikakatika hakupokea.
Mara akapiga samahani nilikuwa nahudumia wateja sikuweza kupokea simu yako,haina shida mzee Dickson.Nikafanya kama J4 alivyonielekeza nikapata jibu dawa zipo,bei ni Tsh. 50,000/= kwa pair.Nikauliza je ktk stock yako tunaweza pata pair 300 nikajibiwa naam na zaidi ukihitaji.
Wakati namaliza mazungumzo na Dickson nikachukua karatasi nililokuwa nimeandika namba zao majina bandia na majina halisi halafu nikaona bado sijajua ni kitu halisi au matapeli.
Nikampigia Dada yangu mara mbili hakupokea.Nikapata namba ya shemeji halisi nikakuta ni tofauti na ya bandia j4 nikafikiri halafu nikajisemea kimoyo moyo isiwe tabu labda ananamba mbili. Kucheki jina kwenye M-pesa jina la kwanza naye ni Willlium lapili tofauti na la J4.
Akili ikanicheza nikarudi kwa Dada jina lake la pili linamatch na la Shemeji halisi.Nikasema sasa natumia fani yangu kidogo ya Dr na Cr.Alipiga na namba mpya Mimi nampigia kwenye ile ya zamani ili kuitendea haki Golden rule in Accounts.
Akapokea shemeji halisi baada ya salamu nikamuuliza habari ya wapi akanieleza ya ....ambapo ndo makazi yake yalipo.Kunamtu nilimuona Arusha ni wewe au nilifananisha?Hapana Shemeji mi sijawahi hata kufika Arusha,basi nakushukuru tukaagana.
Mara J4 akaja hewani,ehh vipi ushaongea na mzee dickson ndiyo sa mbona hujanipa jibu Shem nikamwambia ndo nimemaliza mazungumzo sasa hivi.
Nikampa mrejesho akaniambia sasa mpigie mkaliman ili ujue wao watanunua kiasi gani?Ili kama inalipa tufanye kazi unapeni hapo nikutajie namba,ndiyo no. yake ni 0755201695 anaitwa Gloria.Nikamwambia mi nawazo tofauti kwa kuwa mi nimecheki na mzee Dickson we ungecheki na Gloria halafu utanipa jibu,aahhh shemeji sasa we hauko serious kama hauko tayari basi ngoja nimtafute mtu mwingine nikamwambia sawa.
Kwenda kwenye M-pesa Gloria jina ni Gloria Kagari.
Basi ndo movie ilivyokuwa hivyo namshukuru Mungu tena kwa kuninusuru na matapeli walio wavivu wa kutafuta ngawira kwa njia zilizo halali.USHAURI WANGU TUJITAHIDI KUPASHANA HABARI ZA HAWA WENYE MBINU CHAFU ZA KUTAKA KUKWAPUA FEDHA ZETU ISIVYO HALALI,NAWASILISHA.
Hatari sana,ni kitu ya mchana huu.Kanipigia mtu kupokea kanisalimia kwa kunichangamkia sanaaaa,mpaka nikaona hii sasa noma kumuuliza nani sijui atajisikiaje.Nikamvutia kasi baada ya salamu za utangulizi nikamwambia hapa kwetu tunashukuru neema ya mvua imekuja vipi huko?
Huku sisi bado,sawa samahani naomba usijisikie vibaya nani naongea naye aaaah inamaana umepoteza namba yangu?Nikapigwa swali,jibu umepatia ndo maana nakuuliza Mi j4 ahaa shemu,ndiyo za ---?Nzuri lakini siko hapo kwa sasa niko Arusha nimepata kibarua hapa AICC mi ni dereva.
Ok hongera,nashukuru akajibu.
Sasa shemu hapa nilipo kunaboss wangu kanipa tender ye anafanyia UN.Kuna watu kutoka Sudan ya kusini huwa wananunua dawa za Kuhifadhia nafaka.
Huwa wanafanya na mdogoake huyu boss wangu ninayemuendesha ila kwa sasa yupo uganda masomoni,na hawa wageni wameshafika ila wanahitaji mtu wa kusupply hizo dawa. Gidion Lima alikuwa ndo anafanya hii kazi sasa niliulizwa na Boss kama nina mtu mwaminifu ninayemfahamu nikaona utanifaa na hauta niangusha.
Uko sasahihi,kwahiyo nini unachotaka nikifanye kwa kuvaa viatu vya Gidion aliyeko masomoni?
Kuna namba za agent wa UN yuko hapo mkoa wa.....ndo huwa anauza hizi dawa.We mpigie mueleze ni mdogo ake Gidion,then muulize kama dawa zipo,bei ya dawa kwa pair inakwendaje kwa sasa,na kama zipo tunaweza pata pair mia tatu leo(300)?
Halafu nipe jibu niulize mkalimani wa wale wageni wananunua kwa kiasi gani ili kuona kama kutakuwa na faida tufanye nao kazi.Poa Nashukuru utaratibu wa kusajili namba,nikahitaji kufahamu jina la J4 nikakuta ni Benjamini Willium no.0769721953 (shemeji bandia).
Nikaona ngoja niende kwa agent J4 aliniambia anaitwa Mzee Dickson lkn jina alilosajili ni Yohana Paulo no. 0754695542 nikampigia simu ikaita mpaka ikakatika hakupokea.
Mara akapiga samahani nilikuwa nahudumia wateja sikuweza kupokea simu yako,haina shida mzee Dickson.Nikafanya kama J4 alivyonielekeza nikapata jibu dawa zipo,bei ni Tsh. 50,000/= kwa pair.Nikauliza je ktk stock yako tunaweza pata pair 300 nikajibiwa naam na zaidi ukihitaji.
Wakati namaliza mazungumzo na Dickson nikachukua karatasi nililokuwa nimeandika namba zao majina bandia na majina halisi halafu nikaona bado sijajua ni kitu halisi au matapeli.
Nikampigia Dada yangu mara mbili hakupokea.Nikapata namba ya shemeji halisi nikakuta ni tofauti na ya bandia j4 nikafikiri halafu nikajisemea kimoyo moyo isiwe tabu labda ananamba mbili. Kucheki jina kwenye M-pesa jina la kwanza naye ni Willlium lapili tofauti na la J4.
Akili ikanicheza nikarudi kwa Dada jina lake la pili linamatch na la Shemeji halisi.Nikasema sasa natumia fani yangu kidogo ya Dr na Cr.Alipiga na namba mpya Mimi nampigia kwenye ile ya zamani ili kuitendea haki Golden rule in Accounts.
Akapokea shemeji halisi baada ya salamu nikamuuliza habari ya wapi akanieleza ya ....ambapo ndo makazi yake yalipo.Kunamtu nilimuona Arusha ni wewe au nilifananisha?Hapana Shemeji mi sijawahi hata kufika Arusha,basi nakushukuru tukaagana.
Mara J4 akaja hewani,ehh vipi ushaongea na mzee dickson ndiyo sa mbona hujanipa jibu Shem nikamwambia ndo nimemaliza mazungumzo sasa hivi.
Nikampa mrejesho akaniambia sasa mpigie mkaliman ili ujue wao watanunua kiasi gani?Ili kama inalipa tufanye kazi unapeni hapo nikutajie namba,ndiyo no. yake ni 0755201695 anaitwa Gloria.Nikamwambia mi nawazo tofauti kwa kuwa mi nimecheki na mzee Dickson we ungecheki na Gloria halafu utanipa jibu,aahhh shemeji sasa we hauko serious kama hauko tayari basi ngoja nimtafute mtu mwingine nikamwambia sawa.
Kwenda kwenye M-pesa Gloria jina ni Gloria Kagari.
Basi ndo movie ilivyokuwa hivyo namshukuru Mungu tena kwa kuninusuru na matapeli walio wavivu wa kutafuta ngawira kwa njia zilizo halali.USHAURI WANGU TUJITAHIDI KUPASHANA HABARI ZA HAWA WENYE MBINU CHAFU ZA KUTAKA KUKWAPUA FEDHA ZETU ISIVYO HALALI,NAWASILISHA.