tayari wapo 17
Up to now CHADEMA has won the following (17) constituencies confirmed by NEC: Arusha town, Iringa town, Moshi town, Musoma town, Nyamagana, Ilemela, west Maswa, east Maswa, Ukerewe, Kigoma Kaskazini, Hai, Mbeya mjini, Biharamulo, Meatu, Mbulu, Ubungo, Rombo.
Siyo hivyo sixteen kumbuka kuna ndugu zetu wengine wa cuf wapo 11,safari hii mjengoni halali mtu labda nao walewe sifa wakatuzingue,hapa zitto hapa ahmad rashid si unajua mziki wao kaongezeka mnyika,ccm watapumulia mipira