Uchaguzi 2020 Walikuwa hawaamini kama upepo umebadilika

Miti yote inateleza sasa naona.
 
Nape , makamba , na mchemba wamo kikundi cha computer system cha kutengeza goli la mkono hilo linajulikana sahivi wanaseti mitambo ndio maana wao wamepitishwa bila kupinga wapate muda wa kutengeneza wizi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Upepo umegeuka mitandaoni au kwenye kampeni live.
Kuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyeenda kwa nauli yake kwenye mkutano kusikiliza sera na yule aliyelazimishwa na kupakiwa kwenye trecta na malori kisha anapewa na posho na kuwekewa shoo za fiestra au unabisha nikuwekee clip ya mama Maria Nyerere?
 
Duh, binadamu kiumbe mbaya Sana. Ndo maana mzungu aligundua siraha
 
Upepo umegeuka mitandaoni au kwenye kampeni live.
hebu jaribuni kwenda bila wasanii, bila kulazimisha watumishi kuhudhuria na bila kusomba watu kwa malori, halafu tuone kama mtapata hata watu kumi.
 
Huwezi kukwepa ngumi ya uso kwa kufumba macho. Fungueni macho muone uhalisia wa mambo. Upepo umebadilika na hakuna njia yoyote inayoweza kubadili uelekeo wa upepo
John anatia huruma Sana. Hakujipanga kupiga kampeni. Yeye alikomaa kununua wabunge wa upinzani akajua kishamaliza kazi.
 
Achana nao hao wanajipa moyo tu.
 
Ile mikutano ya kawe, mbagala na segerea iliwaadaa, pakubwa sasa nadhani itabidi wawapigie magoti kina kinana wawasaidie
 
Mbona na Chadema wamekusanya wanamziki
 
Umati wa watu anaopata Lissu ni ushahidi tosha Magufuri na CCM yake watu wamewachoka tafadhali , CCM ondokeni na achieni nchi kwa amani , Mambo ya majeshi ya akiba vitisho vya Siro havitasaidia .
 
Kwahiyo ww unaepelekea watu wasanii pamoja na kuwatoa wato kwa malori na mabasi vijijini wende mjini mikutanoni bure na wale wanao to a pesa zao mifukonj kwenda kumuangalia lisu nani bora

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
na nyie si mfanye hivo kwan mmekatazwa?
 
Majizi na Mafisadi ya CCM yapo yanahaha na hayajui cha kufanya mfano Bashiru na Polepole wanatia huruma
Hawa wawili ni kati ya wanaccm wengi wanaotaka sn ccm ife.... Ila ndo hivo hawawezi kusema hadharani
 
Mambo ya aibu sana. Jiwe alifikiri akiwashawishi kwa vyeo na fedha Wabunge na Madiwani toka Upinzani basi watakuwa wamewapata na Wafuasi wao.

Madaraka na rasilimali za nchi alizitumia kupanda mbegu ya chuki na ubaguzi sasa acha avune alichopanda.
Alitusomesha namba Sasa zamu yake kuisoma October
 
Mitaani kura kwa cdm,tena wameamua kimya kimya,,huu ni ukweli mtupu... Watumishi ....waalimu,afya,usalama.... Kura kwa lissu.. Nimeshuhudia mwenyewe wanavyohimizana kimkakati.. Wanafanya kampeni mtu kwa mtu.. Kama hawakufahamu wanakuacha,,hawapigi kelele kama enzi 2015...
 
Hahahaha
Mtakufa kwa vihoro mwaka huu.

Mnapambana kuwaridhisha viongozi wakuu waone wanaungwa mkono...

Hamna sera wala hoja
 
Magu hawezi kuwapa kazi hao vibaka, anawafahamu kabisa mwaka 2015 waliiba mabilioni walipojipa kazi ya kuzunguka na mgombea . Magu ana vijana wake anawaaamini sio hao wanaosemaga mwishoni tulikupigania hutujali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…