Walim wa geografia saidia kudadafua hapa


Chukua 100% mkuu...umenipa enlightment babu kubwa...siku njema
 
Walim 2tafika? Unatakiwa ushughulishe akili na kufikiria fasta la cvyo utaumbuka huko dasasan. Na mim nna swali nikuulize?

baby tupia hilo swali lako jamii ni kisima cha elimu hakuna linaloshindikana,ukitupia ujinga utajibiwa mpaka utatamani kujinyonga
 
Kwenye ushauri wa KITWANGAUTAM sehem ya gari barabarani weka Meli baharini.
 
Hii ni kwasababu vyote vilivyomo duniani navyo vinazunguka.kinachoonekanahapo ni upepo kwani unaenda kukingana na uelekeo wa dunia(curiolis )
kwanza unajua maana ya corriolis effect?? vilivyoko duniani havizunguki,bali dunia ndio inazunguka...
 
Mimi nina swali langu,ukifika muda wa jioni kuna nyota moja huwa inakuwa ya kwanza kutoka na huwa inang'ara na kubwa kidogo kuliko zingine,imeleta kidogo utata hasa kwa wale wanaofuatilia hiyo kitu au kuskia,wengine wanadai siyo nyota kama nyota wengine wanasema ni sayari,je ukweli halisi uko wapi?...je kuna aliyepata ushahidi wowote kutoka kwa astronomers?....watoto wa shule wanatutinga kutuuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…