Walim wa geografia saidia kudadafua hapa

Walim wa geografia saidia kudadafua hapa

very simple,assume huko ndani ya gari lenye vioo vyote vyeusi yaani hakuna kuona vitu vya nje,kisha hiyo barabara ni smooth surface hakuna hata colgation,hivi gari itakapokuwa inatembea na wewe uliyendani ya hiyo gari utahisi unatembea? ukishafahamu hapo rotation & revolution kwisha habari yake,mkuu kama wewe ni mwalimu kweli hiyo topic ya solar system fundisha baada ya term ya pili la sivyo watoto watakuchukia watasema hujui kufundisha,concept zake zinawatinga sana watoto wa form one,kazi njema mkuu!

Chukua 100% mkuu...umenipa enlightment babu kubwa...siku njema
 
Walim 2tafika? Unatakiwa ushughulishe akili na kufikiria fasta la cvyo utaumbuka huko dasasan. Na mim nna swali nikuulize?

baby tupia hilo swali lako jamii ni kisima cha elimu hakuna linaloshindikana,ukitupia ujinga utajibiwa mpaka utatamani kujinyonga
 
Kwenye ushauri wa KITWANGAUTAM sehem ya gari barabarani weka Meli baharini.
 
Hii ni kwasababu vyote vilivyomo duniani navyo vinazunguka.kinachoonekanahapo ni upepo kwani unaenda kukingana na uelekeo wa dunia(curiolis )
kwanza unajua maana ya corriolis effect?? vilivyoko duniani havizunguki,bali dunia ndio inazunguka...
 
Mimi nina swali langu,ukifika muda wa jioni kuna nyota moja huwa inakuwa ya kwanza kutoka na huwa inang'ara na kubwa kidogo kuliko zingine,imeleta kidogo utata hasa kwa wale wanaofuatilia hiyo kitu au kuskia,wengine wanadai siyo nyota kama nyota wengine wanasema ni sayari,je ukweli halisi uko wapi?...je kuna aliyepata ushahidi wowote kutoka kwa astronomers?....watoto wa shule wanatutinga kutuuliza
 
Back
Top Bottom