WEWE NA AKILI ZAKO ZOTE UMEONA SIMBA IMETAJWA HAPONyie mnadhani Kila timu ni wachawi kama nyie, au ndio mnaanza kutafuta cha kusema baada ya mechi ili mseme Simba ameshinda kwa sababu ya kuroga, acheni kutumia vichwa kama kifuniko cha shingo
Msije kusema kuwa hatujawaambia, Ayubu Fc walishachungulia na kuona kuwa hii mechi ni ngumu.
Hotelini walipofikia hapakaliki na inasemekana wamewatafuta wachezaji wao walioichezea Ayub Fc na kuwauza hapo Arizeti FC lakini hawapatikani kwenye simu zao.
Kwanza niwapongeze uongozi wa Arizeti Fc kwa kufuatilia kila hatua za wachezaji ili wasije kuuza mechi kwa Ayubu FC.
viongozi wa Arizet FC hakikisheni uwanja hauchimbwi chimbwi na Ayub FC wekeni misiamamo Kama uwanja wa Ramba Ramba Fc walivyosema usichimbwe kwenye game na wale wanaotoka huko Zambia.
KILA LA HERI ARIZETI FC.k
Kwani ratiba ya NBC imetoka jana kwani Simba hawakujua watacheza na Lameck FC mpaka waanze mipango ya kuwahujumu jana.That is to say cheap propaganda ever from Utopoloni
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tuKatika vitu mbumbumbu fc wana changanganyikiwa basi uwazuie wasi fanye mambo ya ulozi hasa kudhibiti uwanja wanao tarajia kuutumia.
Jamaa wame uharibu sana uwanja wa Mkapa.
Kwasasa ule uwanja umefanyiwa ukarabati mkubwa mpaka sehemu ya kuchezea sasa wahusika wasiruhusu upuuzi wao wa kuloga wafanyie kwenye sehemu ya kuchezea.
Simba wanawashughulisha sanaUOGA GANI
Asante mbumbumbu FcBi Ihefu mna shida vichwani , siyo bure.
KAMA WANAKOSEA BBC WANASEMA KUMRADHI MIMI NANI NISIKOSEE.sio arizeti ni alizeti
Lamba lamba walikomalia huo mchezo.Katika vitu mbumbumbu fc wana changanganyikiwa basi uwazuie wasi fanye mambo ya ulozi hasa kudhibiti uwanja wanao tarajia kuutumia.
Jamaa wame uharibu sana uwanja wa Mkapa.
Kwasasa ule uwanja umefanyiwa ukarabati mkubwa mpaka sehemu ya kuchezea sasa wahusika wasiruhusu upuuzi wao wa kuloga wafanyie kwenye sehemu ya kuchezea.
Kwahiyo tumekubaliana wamefungwa kihalali baada ya kuzuia 'HILA' za Simba ama?Msije kusema kuwa hatujawaambia, Ayubu Fc walishachungulia na kuona kuwa hii mechi ni ngumu.
Hotelini walipofikia hapakaliki na inasemekana wamewatafuta wachezaji wao walioichezea Ayub Fc na kuwauza hapo Arizeti FC lakini hawapatikani kwenye simu zao.
Kwanza niwapongeze uongozi wa Arizeti Fc kwa kufuatilia kila hatua za wachezaji ili wasije kuuza mechi kwa Ayubu FC.
viongozi wa Arizet FC hakikisheni uwanja hauchimbwi chimbwi na Ayub FC wekeni misiamamo Kama uwanja wa Ramba Ramba Fc walivyosema usichimbwe kwenye game na wale wanaotoka huko Zambia.
KILA LA HERI ARIZETI FC.
WEWE NA AKILI ZAKO ZOTE UMEONA SIMBA IMETAJWA HAPO
WEWE NA AKILI ZAKO ZOTE UMEONA SIMBA IMETAJWA HAPO
Leta mrejesho, unakimbia Uzi wako.Msije kusema kuwa hatujawaambia, Ayubu Fc walishachungulia na kuona kuwa hii mechi ni ngumu.
Hotelini walipofikia hapakaliki na inasemekana wamewatafuta wachezaji wao walioichezea Ayub Fc na kuwauza hapo Arizeti FC lakini hawapatikani kwenye simu zao.
Kwanza niwapongeze uongozi wa Arizeti Fc kwa kufuatilia kila hatua za wachezaji ili wasije kuuza mechi kwa Ayubu FC.
viongozi wa Arizet FC hakikisheni uwanja hauchimbwi chimbwi na Ayub FC wekeni misiamamo Kama uwanja wa Ramba Ramba Fc walivyosema usichimbwe kwenye game na wale wanaotoka huko Zambia.
KILA LA HERI ARIZETI FC.
ULIKIMBIA SHULEMsije kusema kuwa hatujawaambia, Ayubu Fc walishachungulia na kuona kuwa hii mechi ni ngumu.
Hotelini walipofikia hapakaliki na inasemekana wamewatafuta wachezaji wao walioichezea Ayub Fc na kuwauza hapo Arizeti FC lakini hawapatikani kwenye simu zao.
Kwanza niwapongeze uongozi wa Arizeti Fc kwa kufuatilia kila hatua za wachezaji ili wasije kuuza mechi kwa Ayubu FC.
viongozi wa Arizet FC hakikisheni uwanja hauchimbwi chimbwi na Ayub FC wekeni misiamamo Kama uwanja wa Ramba Ramba Fc walivyosema usichimbwe kwenye game na wale wanaotoka huko Zambia.
KILA LA HERI ARIZETI FC.
Mechi nyepesi sanaMsije kusema kuwa hatujawaambia, Ayubu Fc walishachungulia na kuona kuwa hii mechi ni ngumu.
LAZIMA MUONE NYEPESI KWA KUHONGA MAREFA.Mechi nyepesi sana
Mngewaongezea dau. Ile 25M bado haijapata mtu, inazidi kuzunguka tuLAZIMA MUONE NYEPESI KWA KUHONGA MAREFA.