Qualifier
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,252
- 405
CWT, ilianzishwa kwa nia njema ya kutetea na kudai maslahi ya walimu, lakini sasa viongozi wamesha poteza dira wamegeuza CWT kuwa chama cha kuwanyonya walimu na kutumia jasho la walimu kujengea majumba makubwa, kujilipa mishahara minono kufanya mashindano ya kununua magari ya kifahari huku wameacha walimu wanao dai madeni toka serikalini kila mtu adai kivyake kama vile hakuna chama cha walimu. Walimu hawajalipwa madeni yao sasa ni muda mrefu na CWT wamekaa kimya kama vile hakuna walimu wanao idai serikali ninawashauri walimu mnao anza ajira msijaze form za CWT hawana mpango na walimu tena vinginevyo walimu wasingedai serikali kwa muda mrefu kiasi hiki na CWT wako kimya